Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Mwana FA f/ Alikiba — Kiboko Yangu

Mwana FA ameachia wimbo wake mpya aliomshirikisha Alikiba ‘Kiboko Yangu’. Isikilize hapa.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Collabo ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ yanukia

Kabla ya kuachia ‘Mfalme’ aliyomshirikisha G-Nako, Hamis Mwinjuma aka Mwana FA alikuwa amepanga kutoa wimbo aliomshirikisha Alikiba, ‘Kiboko Yangu’. Na pia ‘Kiboko Yangu’ ndio wimbo alioanza kurekodi kwenye studio za MJ Records chini ya producer Marco Chali lakini aliamua kuanza kuachia ‘Mfalme’ iliyotayarishwa na Nahreel. Hata hivyo kwa mujibu wa tweets za Mwana FA na […]

 

10 years ago

Jamtz.Com

10 years ago

Bongo5

New Video: Mwana FA Ft Ali Kiba — Kiboko Yangu

Video mpya kutoka kwa Mwana FA akismhirikisha Ali Kiba wimbo unaitwa “Kiboko Ynagu” video imeongzwa na Kevin Bosco Jr kutoka Kenya.

 

10 years ago

Bongo5

Mike Tee ndiye aliyeandika script ya video ya ‘Kiboko Yangu’ ya Mwana FA

Bila shaka unaikumbua video ya ‘Kiboko Yangu’ ya Mwana FA na Alikiba iliyofanyika nchini Kenya na kuongozwa na Kevin Bosco Jr na kutoka January 2015. Script ya video hiyo iliandikwa na rapper Mike Tee ambaye pia ana vipaji vingine vya kutengeneza muziki pamoja na kuongoza video za muziki. Mike Tee a.k.a Mnyalu ameelezea jinsi ilivyokuwa […]

 

10 years ago

CloudsFM

10 years ago

Bongo5

Alikiba premieres ‘Mwana’ music video on 5 of Africa’s biggest TV stations

Leading with the singles ‘Mwana’ and ‘Kimasomaso’ Alikiba’s most anticipated music video to date ‘Mwana’ was released to millions of fans across Africa and the world, YESTERDAY -19th December 2014. ‘Mwana’ is the first official release through his worldwide partnership with his record label and management company ROCKSTAR4000 and Rockstar Publishing. The Music Video ‘Mwana’ […]

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani