Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lulu: Baba Yangu ni Handsome!!

Leo ikiwa ni siku ya kutupa nyuma,Throwback ambapo watu hubandika picha zao za zamani kwenye mitandao ya kijamii ususani INSTAGRAM, mrembo na mwigizaji wa filamu anaewavutia wengi kwa uzuri na kipaji chake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amebandika picha akiwa amebebwa na Baba yake ‘Mzee Michael’ kipindi akiwa mtoto na kuiandikia maneno kuwa yupo na baba yake mtanashati ambae amezaa chema na kujinasibu kuwa wanafanana.

"Enjoy na Throwback, Sina cha maana wala Jipya la ku post..! My handsome daddy...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Lulu: Nampenda Wema kama dada yangu

lulu_instagramNA THERESIA GASPER

KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepetu, utakuwa umekosea, kwani hakuna ugomvi kati yao.

Lulu alieleza kwamba wamekuwa wakishirikiana na Wema Sepetu katika mambo mbalimbali, ikiwemo sherehe, misiba na mijumuiko mbalimbali.

“Nampenda Wema kama dada yangu na yeye ananipenda vile vile, nimekuwa nikihudhuria kwenye shughuli mbali mbali ambazo zinamhusu, nilishiriki vema katika msiba wa baba yake na sherehe zake...

 

11 years ago

GPL

BABA: DIAMOND SIYO RIZIKI YANGU

Stori: Gladness Mallya BABA wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Jumaa amefunguka kuwa mwanaye huyo siyo riziki yake kwani hana dalili zozote za kumjali kama mzazi. Nasibu Abdul ‘Diamond’. Akistorisha na gazeti hili, mzee huyo alisema kwa sasa hataki kumzungumzia kabisa Diamond kwa sababu alishamtumia ujumbe kwamba anatakiwa kubaki kama baba tu na si vinginevyo.… ...

 

10 years ago

Mtanzania

Dully: Walioshindwa kumzika baba yangu wamenihuzunisha

ebbyNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dully Sykes, ameshangazwa na kitendo cha wasanii wengi kutojitokeza katika mazishi ya baba yake mzazi, Ebby Sykes juzi jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini juzi mara baada ya kumalizika kwa mazishi ya baba yake, msanii huyo alisema ameshangaa jinsi gani wasanii wengi wamekuwa na roho za chuki.
Alisema matarajio yake yalikuwa kuwaona wenzake wakiungana naye katika wakati huo mgumu, lakini ni wachache sana walioonyesha moyo...

 

9 years ago

Mwananchi

Kigoda: Sigombei ubunge kumrithi baba yangu

Mgombea ubunge wa Jimbo la Handeni kupitia CCM, Omari Kigoda amesema hagombei nafasi hiyo kutaka kuziba pengo lililoachwa na b

 

9 years ago

GPL

WEMA:NINGNINGEENDA UKAWA, KABURI LA BABA YANGU LINGETITIA

 Staa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Ohoo! Habari ikufikie kwamba, staa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa kama angetoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuhamia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), siku hiyo kaburi la baba yake, marehemu Isaac Abraham Sepetu lingetitia. Akizungumza na gazeti namba moja la mastaa Bongo, Ijumaa Wikienda, Wema alitiririka kwamba kama...

 

10 years ago

CloudsFM

Dully Sykes: Walioshindwa kumzika baba yangu wamenihuzunisha

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dully Sykes, ameshangazwa na kitendo cha wasanii wengi kutojitokeza katika mazishi ya baba yake mzazi, Ebby Sykes juzi jijini Dar es Salaam.

Akizungumza jijini juzi mara baada ya kumalizika kwa mazishi ya baba yake, msanii huyo alisema ameshangaa jinsi gani wasanii wengi wamekuwa na roho za chuki. Alisema matarajio yake yalikuwa kuwaona wenzake wakiungana naye katika wakati huo mgumu, lakini ni wachache sana walioonyesha moyo wa upendo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani