Dully: Walioshindwa kumzika baba yangu wamenihuzunisha
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dully Sykes, ameshangazwa na kitendo cha wasanii wengi kutojitokeza katika mazishi ya baba yake mzazi, Ebby Sykes juzi jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini juzi mara baada ya kumalizika kwa mazishi ya baba yake, msanii huyo alisema ameshangaa jinsi gani wasanii wengi wamekuwa na roho za chuki.
Alisema matarajio yake yalikuwa kuwaona wenzake wakiungana naye katika wakati huo mgumu, lakini ni wachache sana walioonyesha moyo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM19 Feb
Dully Sykes: Walioshindwa kumzika baba yangu wamenihuzunisha
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dully Sykes, ameshangazwa na kitendo cha wasanii wengi kutojitokeza katika mazishi ya baba yake mzazi, Ebby Sykes juzi jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Dully Sykes: Kazi yangu kupagawisha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*B180K2ZGEO4-uCqjaUfFJXP5EU5tM0XNFNb2nag05R5nGMAGGX2LU05CgQ3ly2b**EMy6oq2N1TadyTyoFoxwg/backAMANI.jpg?width=650)
BABA ALIVYOMNYONGA MWANAYE NA KUMZIKA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kwRawuBDWIQ/VODaqgQ8QyI/AAAAAAAHD1k/vy1HSqNq0Kw/s72-c/10958102_336497629887424_191661160_n.jpg)
JUST IN: BABA WA MSANII DULLY SYKES AFARIKI DUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-kwRawuBDWIQ/VODaqgQ8QyI/AAAAAAAHD1k/vy1HSqNq0Kw/s1600/10958102_336497629887424_191661160_n.jpg)
Ebby Sykes alikuwa muimbaji na mpiga gitaa mashuhuri na ndiye anayedaiwa kumfundisha mambo mengi ya muziki mwanae Dully Sykes.
Sykes alizaliwa February 24, 1952 ambapo tarehe hiyo mwaka huu alikuwa anatimiza miaka 63.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
-Amen
11 years ago
Bongo Movies24 Jul
RAY ashindwa kumzika “Baba’ke” na JOHARI. Chuchu Hans 'atajwa'.
MKURUGENZI wa RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameshindwa kumzika baba mdogo wa mkurugenzi mwenza wa kampuni hiyo, Blandina Chagula, Clement Kiyenze Chagula.
Mzee huyo alifariki katika Hospitali ya Muhimbili kutokana na matatizo ya presha na figo yaliyokuwa yakimsumbua na kuzikwa katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo wasanii mbalimbali wa filamu nchini walishiriki akiwemo Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete.
Alipoulizwa Ray kwa nini hakuhudhuria mazishi hayo, alisema:
“Ukweli...
10 years ago
GPLMAMIA WAMZIKA BABA MZAZI WA DULLY SYKES MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
GPLHALI ILIVYOKUWA MSIBANI KWA BABA YAKE DULLY KABLA YA MAZISHI
9 years ago
Bongo521 Dec
H.Baba azirejesha ‘Tuzo za Familia’ Dully Sykes na Riyama washinda (Picha)
![Dr. Fadhili Emily akiiwakilisha The Fadhaget Sanitarium Clinic akimkabidhi Tanzanite tuzo ya ubalozi wa Kliniki hiyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Dr.-Fadhili-Emily-akiiwakilisha-The-Fadhaget-Sanitarium-Clinic-akimkabidhi-Tanzanite-tuzo-ya-ubalozi-wa-Kliniki-hiyo--300x194.jpg)
Tuzo za Familia za msanii wa muziki, H.Baba akishirikiana na mke wake, Flora Mvungi zimefanyika kwa mara ya pili, Jumapili hii ndani ya City Style Hotel iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo wawili hao waliondoka na tuzo na Best Couple of The Year 2015.
Flora Mvungi akijiandaa kumkabidhi Riyama tuzo
Katika tuzo hizo, Dully Sykes aliondoka na tuzo ya Hall Fame of The Year 2015 kwa upande wa muziki huku Riyama Ally akiondoka na Hall Fame Of The Year 2015 kwa upande wa...