BABA ALIVYOMNYONGA MWANAYE NA KUMZIKA
![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*B180K2ZGEO4-uCqjaUfFJXP5EU5tM0XNFNb2nag05R5nGMAGGX2LU05CgQ3ly2b**EMy6oq2N1TadyTyoFoxwg/backAMANI.jpg?width=650)
Na Mwandishi Wetu, Katavi YULE mtoto wa umri wa mwaka mmoja na miezi miwili, Regina Geofrey aliyeuawa kikatili kwa kunyongwa kisha kuzikwa na baba yake mzazi, Geofrey Kilangwa ‘Simbaiwe’ (27) kwa kuwa alizaliwa akiwa ametanguliza makalio yake, amezidi kuibua maswali. Mtuhumiwa Geofrey Kilangwa ‘Simbaiwe’( katikati) aliyemuua mwanaye mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi miwili, Regina Geofrey. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Dully: Walioshindwa kumzika baba yangu wamenihuzunisha
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dully Sykes, ameshangazwa na kitendo cha wasanii wengi kutojitokeza katika mazishi ya baba yake mzazi, Ebby Sykes juzi jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini juzi mara baada ya kumalizika kwa mazishi ya baba yake, msanii huyo alisema ameshangaa jinsi gani wasanii wengi wamekuwa na roho za chuki.
Alisema matarajio yake yalikuwa kuwaona wenzake wakiungana naye katika wakati huo mgumu, lakini ni wachache sana walioonyesha moyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVd1-hvLcAdDj5ZREmv1sT0LiceItyxvwmwD93Zmf8Wk4vQGGCtPQyyp2lIqfIjWB5SG2XtrlUjSYj77wZi*wifu/baba.jpg?width=650)
BABA ALIVYOMCHINJA MWANAYE
10 years ago
CloudsFM19 Feb
Dully Sykes: Walioshindwa kumzika baba yangu wamenihuzunisha
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dully Sykes, ameshangazwa na kitendo cha wasanii wengi kutojitokeza katika mazishi ya baba yake mzazi, Ebby Sykes juzi jijini Dar es Salaam.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JQbgrkxt9ufR-VOe7vO0xN3z5Sr6Y48PCFFBVQbAoUu4*2he-GmL-799uLFLv4*2MhNsvHOHZXZyjkvwCzkl4zPouGZDb-k-/baba.jpg?width=650)
BABA AMRUSHA MWANAYE GHOROFANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-SH5vFbeCgeVje-i6P4UrP1tRrAEYfGv43Mpz3q0uQMaM2t3yRvlkVD7uGcSjYagVROxttrTijWVC9ZjrzOfJ55/FRONTUWAZI.jpg)
BABA ALIVYOMCHINJA MWANAYE DAR!
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Baba adaiwa kumnyonga mwanaye
MTOTO Henry Juma, mwenye umri wa miezi saba, mkazi wa Migombani mjini Tunduma, wilayani Momba, mkoani hapa, amekutwa ameuawa kwa kunyongwa shingo na baba yake mzazi, Juma Venance, kisha mwili...
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Baba amzuia mwanaye Mbeya City
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
BABA mzazi wa kipa namba moja wa timu ya Mbeya City, Abdallah David, amemzuia mwanaye David Burhani, kuichezea timu hiyo kwa kile alichodai kupotezewa muda na timu hiyo.
Burhani alisimamishwa kwa muda usiojulikana na uongozi wa timu hiyo, siku chache baada ya kudaiwa kuihujumu timu hiyo katika mchezo wao dhidi ya Yanga.
Katika mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa Sokoine mjini humo, Yanga walishinda mabao 3-1 huku Burhani akidaiwa kufanya uzembe wa kuruhusu...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Baba mzazi adaiwa kumchinja mwanaye
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Ajali ya gari yaua baba, mwanaye