Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigoda: Sigombei ubunge kumrithi baba yangu

Mgombea ubunge wa Jimbo la Handeni kupitia CCM, Omari Kigoda amesema hagombei nafasi hiyo kutaka kuziba pengo lililoachwa na b

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Profesa Lipumba : Sigombei ubunge Temeke wala Tabora

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema hana mpango wa kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu kama ambavyo imekuwa ikidaiwa.

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yabariki Mgimwa kumrithi baba yake

Wakati Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM ikimpitisha Godfrey Mgimwa (32) kuwa mgombea wa chama hicho Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, Kamati Kuu ya Chadema inakutana keshokutwa kuteua jina la mgombea wake.

 

9 years ago

Mwananchi

Lema aongoza ubunge Arusha, Kigoda Handeni

Arusha/Handeni. Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema, Godbless Lema anaelekea kuibuka tena kidedea baada ya kuongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo uliofanyika jana akimuacha mbali mshindani wake, Philemon Mollel wa CCM.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wananchi wa Handeni wampinga Omari Kigoda kurithi jimbo la Baba yake

Omari Kigoda

                                                                                 Omari Kigoda

[TANZANIA]  Baadhi ya wanachama  Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Handeni  Mkoani Tanga pamoja na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo wamesikitishwa kwa hatua ya Chama hicho kumpitisha Omari Kigoda (pichani) kuwania Ubunge ndani ya CCM  katika kinyang’anyiro cha kuziba  nafasi iliyoachwa wazi kufuatia kifo cha Baba yake mzazi marehemu Dkt. Abdallah Kigoda.

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yampitisha mtoto wa Kigoda kugombea ubunge Handeni Mjini

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Handeni Mjini wamempigia kura na kumchagua tena mgombea ambae alishinda awali Omari Abdallah Kigoda katika uchaguzi uliofanyika wilayani humo leo baada ya kamati kuu ya CCM Taifa kutaka urudiwe.

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Baba Yangu ni Handsome!!

Leo ikiwa ni siku ya kutupa nyuma,Throwback ambapo watu hubandika picha zao za zamani kwenye mitandao ya kijamii ususani INSTAGRAM, mrembo na mwigizaji wa filamu anaewavutia wengi kwa uzuri na kipaji chake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amebandika picha akiwa amebebwa na Baba yake ‘Mzee Michael’ kipindi akiwa mtoto na kuiandikia maneno kuwa yupo na baba yake mtanashati ambae amezaa chema na kujinasibu kuwa wanafanana.

"Enjoy na Throwback, Sina cha maana wala Jipya la ku post..! My handsome daddy...

 

11 years ago

GPL

BABA: DIAMOND SIYO RIZIKI YANGU

Stori: Gladness Mallya BABA wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Jumaa amefunguka kuwa mwanaye huyo siyo riziki yake kwani hana dalili zozote za kumjali kama mzazi. Nasibu Abdul ‘Diamond’. Akistorisha na gazeti hili, mzee huyo alisema kwa sasa hataki kumzungumzia kabisa Diamond kwa sababu alishamtumia ujumbe kwamba anatakiwa kubaki kama baba tu na si vinginevyo.… ...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani