Lema aongoza ubunge Arusha, Kigoda Handeni
Arusha/Handeni. Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema, Godbless Lema anaelekea kuibuka tena kidedea baada ya kuongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo uliofanyika jana akimuacha mbali mshindani wake, Philemon Mollel wa CCM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-REL-UCw7-N0/Vh-2SDfn9dI/AAAAAAAIAGc/gfy-DrtlVKU/s72-c/IMG-20151015-WA0038.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUMZIKA DK.KIGODA HANDENI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-REL-UCw7-N0/Vh-2SDfn9dI/AAAAAAAIAGc/gfy-DrtlVKU/s640/IMG-20151015-WA0038.jpg)
9 years ago
Mwananchi03 Nov
CCM yampitisha mtoto wa Kigoda kugombea ubunge Handeni Mjini
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Rais Kikwete aongoza maelfu ya waombolezaji kwenye mazishi ya Dkt. Abdallah Kigoda mjini Handeni, Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-wsmI3-wVGIM/ViA6zb0RCDI/AAAAAAAIAIw/E1Lj3WY3wJM/s640/k1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8vQVv3OZYUA/ViA9qeSUgQI/AAAAAAAIALM/gJl66oJ_6_s/s640/k3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmxrqQAiRwkIX*sbBdxRGHRFtGElrWDhYi7nkFvS80TloD76R3EGQSO-*2Db-IBXwuEhrofCmHSMIc0OCMwSU*zR/backpage.gif?width=650)
UBUNGE ARUSHA, LEMA KUNG’OKA
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya
Weekend iliyopita ulifanyika uchaguzi kwenye jimbo la Arusha mjini kumtafuta Mbunge ambaye ataliongoza jimbo hilo kwa miaka mitano ijayo ambapo Mshindi alitangazwa kuwa Godbless Lema wa CHADEMA, pamoja na ushindi wake kutangazwa aliyekua mgombea wa CCM Philemon Mollel amejitokeza kusema ushindi ni batili. Sababu zote zilizomfanya Mollel kusema ushindi huo ni batili zipo ukibonyeza play […]
The post Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya appeared first...
9 years ago
Habarileo16 Oct
Handeni wahuzunika kwa kifo cha Dk Kigoda
WAKAZI wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni wamesema wamepokea kwa masikitiko makubwa msiba wa aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo, Dk Abdallah Kigoda aliyefariki India alikokuwa akipatiwa matibabu.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-v0Byl6dFNCU/VM-e9PKyM7I/AAAAAAACzNo/wjeMR_k67Mc/s72-c/59b670e9ccL.jpg)
DKT KIGODA ANASTAHILI KUPUMZIKA JIMBO LA HANDENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-v0Byl6dFNCU/VM-e9PKyM7I/AAAAAAACzNo/wjeMR_k67Mc/s640/59b670e9ccL.jpg)
UKWELI unauma. Na ili ufahamu hilo, mara nyingi watu wanaosema ukweli huwa hawapendwi. Watazushiwa na kusemwa mno kutokana na misimamo yao ya ukweli wanayosema mbele ya hadhira.
Wakati nasema haya, najipa moyo kuwa hata kama wapo watakaochukizwa na ukweli wangu, ila ipo siku jamii itaishi vizuri kutokana na kukombolewa na harakati za ukweli zinazoweza kupingwa na wachache wao waliokuwa kwenye nafasi mbalimbali za kiutawala.
Ndio, bora niseme tu Dkt Abdallah Omary...
9 years ago
TheCitizen14 Dec
Kigoda Junior wins father’s Handeni Urban parliamentary seat
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Wananchi wa Handeni wampinga Omari Kigoda kurithi jimbo la Baba yake
Omari Kigoda
[TANZANIA] Baadhi ya wanachama Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Handeni Mkoani Tanga pamoja na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo wamesikitishwa kwa hatua ya Chama hicho kumpitisha Omari Kigoda (pichani) kuwania Ubunge ndani ya CCM katika kinyang’anyiro cha kuziba nafasi iliyoachwa wazi kufuatia kifo cha Baba yake mzazi marehemu Dkt. Abdallah Kigoda.
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka...