RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUMZIKA DK.KIGODA HANDENI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-REL-UCw7-N0/Vh-2SDfn9dI/AAAAAAAIAGc/gfy-DrtlVKU/s72-c/IMG-20151015-WA0038.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Mrisho Kikwete akiungana na wananchi wa Handeni Mkoani Tanga, katika kumzika aliyekuwa waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Kigoda Rais akiwa na chepe ya mchanga.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Kikwete aongoza mamia kumzika Kigoda
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Rais Kikwete aongoza maelfu ya waombolezaji kwenye mazishi ya Dkt. Abdallah Kigoda mjini Handeni, Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-wsmI3-wVGIM/ViA6zb0RCDI/AAAAAAAIAIw/E1Lj3WY3wJM/s640/k1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8vQVv3OZYUA/ViA9qeSUgQI/AAAAAAAIALM/gJl66oJ_6_s/s640/k3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Rais Kikwete aungana na mamia ya waombolezaji kumzika Kepteni Komba kijijini Lituhi
Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbinga Mhashamu John Ndimbo akiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma jana.(picha na Freddy Maro).
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake...
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Mbowe aongoza mamia kumzika Mtoi
NA OSCAR ASSENGA, LUSHOTO
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema), jana ameongoza mamia ya wananchi wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, wakati wa mazishi ya aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo, marehemu Mohomed Mtoi.
Katika mazishi hayo, Mbowe aliiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ihairishe uchaguzi wa jimbo la Lushoto ili waweze kuanza mchakato wa kutafuta mgombea mwingine wa kuziba nafasi iliyoachwa na marehemu Mtoi ambaye alifariki kwa ajali ya gari juzi.
Alisema uchaguzi wa...
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Lema aongoza ubunge Arusha, Kigoda Handeni
10 years ago
Mwananchi30 Apr
JK aongoza mamia kumzika Brigedia Jenerali Mbita
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Bendera aongoza mamia kumzika mtoto Nasra
NA MWANDISHI WETU, MOROGORO
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, jana aliongoza mamia ya wakazi wa mkoa huo katika mazishi ya mtoto Nasra Mvungi, aliyekaa kwenye boksi kwa miaka minne.
Nasra alifariki dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alikokuwa amelazwa akitokea katika Hospitali ya Rufani ya Morogoro.
Mazishi hayo yalifanyika katika makaburi ya Kola, Manispaa ya Morogoro, ambayo yalitanguliwa na ibada ya sala pamoja na kuuaga mwili wa mtoto huyo katika...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-P8Ub5l48Whg/VhVFRvbTb2I/AAAAAAAAaj0/0I3vOAHvEW8/s72-c/IMG_2563.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MTIKILA
![](http://3.bp.blogspot.com/-P8Ub5l48Whg/VhVFRvbTb2I/AAAAAAAAaj0/0I3vOAHvEW8/s640/IMG_2563.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QyXPPpxFFiE/VhVFWsaVNEI/AAAAAAAAaj8/iiDFNIX-irw/s640/IMG_2561.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hBRa7OaeLoI/VhVFZOxFBMI/AAAAAAAAakE/jrm_qE4l_9A/s640/IMG_2579.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tpnm0FlkkbU/VhVFaWREZiI/AAAAAAAAakM/GrE8bQ2mOdI/s640/IMG_2580.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bDh1VpkFFUo/VhVFbIISzDI/AAAAAAAAakQ/GTGXfw8iQCc/s640/IMG_2581.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0zzKRUF9y0k/VhVGG39N6tI/AAAAAAAAakc/GpxeLN1x1Po/s640/IMG_2570.jpg)