JK aongoza mamia kumzika Brigedia Jenerali Mbita
Dar es Salaam. Mamia ya waombolezaji wakiongozwa na Rais Jakaya Kikwete jana walijitokeza katika Makaburi ya Kisutu jijini hapa kuuzika mwili wa Brigedia Jenerali Hashim Mbita aliyefariki dunia mwanzoni mwa wiki hii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Brigedia Jenerali Mbita kuzikwa leo
Adam Mkwepu na Easther Mnyika, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali mstaafu Hashim Mbita (82), anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Mbita aliyefariki dunia Mei 26, mwaka huu katika Hospitali ya Jeshi Lugalo, anatarajiwa kuzikwa leo alasiri katika makaburi ya Kisutu.
Kifo cha mpigania uhuru huyo wa nchi za Afrika kimewagusa viongozi mbalimbali wa vyama na Serikali ambapo Katibu Mkuu wa Chama...
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Brigedia Jenerali Mbita afariki dunia
Jonas Mushi na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MMOJA wa Watanzania waliofanikisha ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika,Brigedia Jenerali Hashim Mbita (82), alifariki dunia jana katika Hospitali Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Lugalo ambako alikuwa amelazwa kwa muda mrefu.
Akizungumza na MTANZANIA nyumbani kwa marehemu Chang’ombe Madukani Dar es Salaam jana, mtoto wa marehemu Iddi Mbita alisema baba yake alifariki dunia saa 3:30 asubuhi baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu...
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Nchi 16 wamzika Brigedia Jenerali Mbita
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
VIONGOZI wa nchi mbalimbali za Afrika jana walijitokeza kuaga mwili wa aliyekua katibu mtendaji wa kamati ya ukombozi kusini Afrika, Brigedia Jenerali Hashim Mbita katika Hosipitali ya jeshi ya Lugalo, Dar es salaam.
Mbali na nchi hizo, Rais Jakaya Kikwete aliongoza kuaga mwili wa marehemu Mbita akifuatana na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda pamoja na viongozi waandamizi wa jeshi na vyama vya siasa.
Mwili wa Mbita uliagwa jana...
10 years ago
GPLHATIMAYE BRIGEDIA JENERALI MBITA AZIKWA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tdKD-4P-V10/VUDfq6rX43I/AAAAAAAHUBQ/QKu0pA_ufmU/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Rais Kikwete atoa heshima za Mwisho kwa Brigedia Jenerali Hashim Mbita
![](http://2.bp.blogspot.com/-tdKD-4P-V10/VUDfq6rX43I/AAAAAAAHUBQ/QKu0pA_ufmU/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NzuEqHKXgZc/VUDftii9sCI/AAAAAAAHUBY/fq5FPSRFWNk/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E_z3nwNbALs/VUENl-ix1lI/AAAAAAAHUJ4/qogq_ebTgfY/s72-c/IMG-20150429-WA0077.jpg)
BRIGEDIA JENERALI ( MSTAAFU ) HASHIM MBITA AZIKWA MAKABURI YA KISUTU, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-E_z3nwNbALs/VUENl-ix1lI/AAAAAAAHUJ4/qogq_ebTgfY/s1600/IMG-20150429-WA0077.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7-H96lbLPGk/VUENkQVNjNI/AAAAAAAHUJo/Wp9n2hgCN48/s1600/IMG-20150429-WA0075.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ns5Zr-3mjbk/VUENj3WUZkI/AAAAAAAHUJk/I214oXTNxks/s1600/IMG-20150429-WA0076.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dQYyeC4d7NA/VT5kd-k7_cI/AAAAAAAC3rE/UfRsgMUePcI/s72-c/mb1.jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU HASHIM MBITA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-dQYyeC4d7NA/VT5kd-k7_cI/AAAAAAAC3rE/UfRsgMUePcI/s1600/mb1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5SvS_ymPt28/VT5kbpKvu4I/AAAAAAAC3q4/jIhyGWpkSS0/s1600/mb2.jpg)
10 years ago
MichuziMH. MEMBE AKABIDHI HUNDI YA DOLA LAKI 1 KWA FAMILIA YA BRIGEDIA JENERALI HASHIM MBITA
10 years ago
Vijimambo08 Jan
RAIS KIKWETE AMJULIA HALI BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU HASHIM MBITA HOSPITALI YA LUGALO
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed3N.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed1N.jpg)