DKT KIGODA ANASTAHILI KUPUMZIKA JIMBO LA HANDENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-v0Byl6dFNCU/VM-e9PKyM7I/AAAAAAACzNo/wjeMR_k67Mc/s72-c/59b670e9ccL.jpg)
NA KAMBI MBWANA, DAR ES SALAAM.
UKWELI unauma. Na ili ufahamu hilo, mara nyingi watu wanaosema ukweli huwa hawapendwi. Watazushiwa na kusemwa mno kutokana na misimamo yao ya ukweli wanayosema mbele ya hadhira.
Wakati nasema haya, najipa moyo kuwa hata kama wapo watakaochukizwa na ukweli wangu, ila ipo siku jamii itaishi vizuri kutokana na kukombolewa na harakati za ukweli zinazoweza kupingwa na wachache wao waliokuwa kwenye nafasi mbalimbali za kiutawala.
Ndio, bora niseme tu Dkt Abdallah Omary...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Wananchi wa Handeni wampinga Omari Kigoda kurithi jimbo la Baba yake
Omari Kigoda
[TANZANIA] Baadhi ya wanachama Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Handeni Mkoani Tanga pamoja na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo wamesikitishwa kwa hatua ya Chama hicho kumpitisha Omari Kigoda (pichani) kuwania Ubunge ndani ya CCM katika kinyang’anyiro cha kuziba nafasi iliyoachwa wazi kufuatia kifo cha Baba yake mzazi marehemu Dkt. Abdallah Kigoda.
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka...
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Rais Kikwete aongoza maelfu ya waombolezaji kwenye mazishi ya Dkt. Abdallah Kigoda mjini Handeni, Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-wsmI3-wVGIM/ViA6zb0RCDI/AAAAAAAIAIw/E1Lj3WY3wJM/s640/k1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8vQVv3OZYUA/ViA9qeSUgQI/AAAAAAAIALM/gJl66oJ_6_s/s640/k3.jpg)
9 years ago
Habarileo16 Oct
Handeni wahuzunika kwa kifo cha Dk Kigoda
WAKAZI wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni wamesema wamepokea kwa masikitiko makubwa msiba wa aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo, Dk Abdallah Kigoda aliyefariki India alikokuwa akipatiwa matibabu.
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Lema aongoza ubunge Arusha, Kigoda Handeni
9 years ago
Mwananchi03 Nov
CCM yampitisha mtoto wa Kigoda kugombea ubunge Handeni Mjini
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-REL-UCw7-N0/Vh-2SDfn9dI/AAAAAAAIAGc/gfy-DrtlVKU/s72-c/IMG-20151015-WA0038.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUMZIKA DK.KIGODA HANDENI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-REL-UCw7-N0/Vh-2SDfn9dI/AAAAAAAIAGc/gfy-DrtlVKU/s640/IMG-20151015-WA0038.jpg)
9 years ago
TheCitizen14 Dec
Kigoda Junior wins father’s Handeni Urban parliamentary seat
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oMBl1KBI0gM/VcBSk6zwmRI/AAAAAAABTFs/UQWmCq2EEUw/s72-c/Freeman%2BMbowe.jpg)
BARAZA KUU LA CHADEMA LARIDHIA DKT SLAA KUPUMZIKA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-oMBl1KBI0gM/VcBSk6zwmRI/AAAAAAABTFs/UQWmCq2EEUw/s640/Freeman%2BMbowe.jpg)
Hatimaye baraza kuu la Chadema limeridhia kusimama kwa muda kufanya kazi za chama aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho Dr Wilbrod Slaa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xrEddD09xEY/VcBUUgoAScI/AAAAAAABTGA/FxG4C_fwA3E/s640/11807718_386209084905029_1739074126667563142_o.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGWA MWILI WA MAREHEMU DKT. KIGODA KARIMJEE DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lbcyLNat5q8/Vh9e9reA_UI/AAAAAAAIABE/UV-1qhAab-E/s640/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0TgNQ23mXB4/Vh9e-dY-GiI/AAAAAAAIABU/2Zq8upR0UpY/s640/04.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-78BAPcbJjdY/Vh9e_3N2p_I/AAAAAAAIABw/7GZpUFoFbF4/s640/07.jpg)