Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya

Weekend iliyopita ulifanyika uchaguzi kwenye jimbo la Arusha mjini kumtafuta Mbunge ambaye ataliongoza jimbo hilo kwa miaka mitano ijayo ambapo Mshindi alitangazwa kuwa Godbless Lema wa CHADEMA, pamoja na ushindi wake kutangazwa aliyekua mgombea wa CCM Philemon Mollel amejitokeza kusema ushindi ni batili. Sababu zote zilizomfanya Mollel kusema ushindi huo ni batili zipo ukibonyeza play […]

The post Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya appeared first...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Citizen Daily

DPP vows to act tough against Arusha MP Godbless Lema

DPP vows to act tough against Arusha MP Godbless Lema  The Citizen Daily

 

10 years ago

Michuzi

MHE. GODBLESS LEMA AFUNGUA WARSHA YA AFYA YA UZAZI NA UKIMWI KWA VIJANA JIJINI ARUSHA

 Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema akitoa hotuba ya ufunguzi wa warsha hiyo jijini Arusha Picha ya pamoja ya washiriki pamoja na mgeni rasmi Mh. Godbless Lema.Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

Godbless Lema Apata mpinzani Arusha ......Aja na Kauli mbiu "Chagua maendeleo usichague Soda"


HARAKATI za kuwania ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini zimeanza baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mustafa Abdulla Panju, kutangaza rasmi nia ya kugombea nafasi hiyo akiwa na kauli mbiu ya chagua maendeleo, usichague soda.Panju alitangaza rasmi nia hiyo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jijini hapa, ambapo aliwataka wanachama wa CCM kumuamini na kumpa nafasi ili apeperushe bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huuAidha, alisema...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA ADAKWA MKOANI SINGIDA KWA TUHUMA ZA KUSAMBAZA TAARIFA ZA UWONGO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike 





















Na Ismail Luhamba, SingidaJESHI la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini  Godbless Lema kwa tuhuma za kusamabaza taarifa za uongo kuwa watu 14 Wilayani Manyoni walifariki kwa kuchinjwa katika matukio mbalimbali.Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike (pichani kulia) alisema wamemkamata Mbunge...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kutajwa Kama Muigizaji Bora wa Kike Kwenye Tuzo Za TAFA 2015, Irene Paul Ameyasema Haya

Staa mrembo wa Bongo Movies, Irene Paul  ameibuka mshindi wa tuzo za Tanzania Film Awards  (TAFA) 2015 kwenye kipengele cha muigizaji bora wa kike ‘Best Actress (in Lead Role)’ ambapo alikuwa akichuana na Irene Veda ,Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ , Rose Ndauka na Shamsa Ford.

Irene  ameeleza kuwa  filamu ya Never Give Up aliyoicheza na staa kutoka Ghana  Van Vicker ndioiliyomfanya ashind tuzo hiyo.

“Filamu iliyonifanya niwe msanii bora wa 2015 ni NEVER GIVE UP niliyoitwa na mzee kambi na...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA KIKAO KWISHA USIKU WA MANANE HAYA NDIYO MAJINA YANAYOTAZAMIWA KUTANGAZWA KESHO.

Haya ndio matokeo yaliyowekwa @Twitter kuhusu Wagombea watano Urais wa CCM Dodoma live 
INASEMEKANA HAWA NDIYO WANAOPEWA NAFASI KUBWA YA KUINGIA KWENYE TANO BORA HABARI RASMI KUTOLEWA ASUBUHI.

 

9 years ago

Mwananchi

Lema aongoza ubunge Arusha, Kigoda Handeni

Arusha/Handeni. Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema, Godbless Lema anaelekea kuibuka tena kidedea baada ya kuongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo uliofanyika jana akimuacha mbali mshindani wake, Philemon Mollel wa CCM.

 

10 years ago

GPL

UBUNGE ARUSHA, LEMA KUNG’OKA

Stori: Joseph Ngilisho KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema. Godbless...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

GODBLESS LEMA AREJEA BUNGENI

Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amechaguliwa tena kwa mara ya pili kuongoza Jimbo la Arusha Mjini.Akimtangaza Mbunge huyo, Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Arusha Mjini, Juma Idd alisema Lema ameshinda kwa kura 68,848 sawa na asilimia 65.7.Alisema mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Philemon Mollel (Monban) amepata kura 35,607 sawa na asilimia 34 huku mgombea wa Chama cha

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani