Baada ya Kutajwa Kama Muigizaji Bora wa Kike Kwenye Tuzo Za TAFA 2015, Irene Paul Ameyasema Haya
Staa mrembo wa Bongo Movies, Irene Paul ameibuka mshindi wa tuzo za Tanzania Film Awards (TAFA) 2015 kwenye kipengele cha muigizaji bora wa kike ‘Best Actress (in Lead Role)’ ambapo alikuwa akichuana na Irene Veda ,Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ , Rose Ndauka na Shamsa Ford.
Irene ameeleza kuwa filamu ya Never Give Up aliyoicheza na staa kutoka Ghana Van Vicker ndioiliyomfanya ashind tuzo hiyo.
“Filamu iliyonifanya niwe msanii bora wa 2015 ni NEVER GIVE UP niliyoitwa na mzee kambi na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 Mar
Lupita Nyong'o kutoka kenya ashinda tuzo ya oscar ya muigizaji msaidizi bora wa kike
10 years ago
Bongo Movies26 Jul
Jokate Aibuka Muigizaji Bira wa Kike Kwenye Tuzo za ZIFF
“Shukrani Sana Zanzibar International Film Festival Kwa Kuona Moja Ya Vipaji Vyangu Kwa Kunipa Tuzo Ya Muigizaji Bora Wa Kike In Swahili Film. Asante Sana Sana Pia @jb_jerusalemfilms Kwa Fursa Ya Kufanya Kazi Nawewe Na Kwa Kutambua Kipaji Changu. Thank You ZIFF for this Honor. God Bless.”
Ameaandika jokate kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram.
Washindi wengine wa tuzo hizo zilizotolewa usiku wa jana, katika upande wa Bongo Movies ni kama ifuatavyo.
1. People’s Choice Award –...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya
Weekend iliyopita ulifanyika uchaguzi kwenye jimbo la Arusha mjini kumtafuta Mbunge ambaye ataliongoza jimbo hilo kwa miaka mitano ijayo ambapo Mshindi alitangazwa kuwa Godbless Lema wa CHADEMA, pamoja na ushindi wake kutangazwa aliyekua mgombea wa CCM Philemon Mollel amejitokeza kusema ushindi ni batili. Sababu zote zilizomfanya Mollel kusema ushindi huo ni batili zipo ukibonyeza play […]
The post Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya appeared first...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Haya ndiyo majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani 2015
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetaja majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015.
Majina hayo matatu (3) yamepatikana kutoka kwa majina 23 aliyokuwa yamependekezwa awali. Majina hayo ni;
Cristiano Ronaldo (Ureno – Real Madrid)
Lionel Messi (Argentina – Barcelona)
Neymar da Silva Santos (Brazil – Barcelona)
Kwa upande wa wanawake FIFA imewataja;
Carli Lloyd (Houston Dash -USA)
Aya Miyama (Okayama Yunogo Belle –...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2Maqbh7fRiTyHn0BDk1Kqk3TS-DtkoGRG*NPVa456rpMsuzYqNwOF3WPnkNUwf-tkV9NWi5ALN5WE7zaaL9xcMnOLo2/AUNTY.jpg?width=650)
TUZO YAMTIA ‘UCHIZI’ IRENE PAUL!
10 years ago
Bongo Movies09 May
Sasa ni Zamu ya Waigizaji Bora wa Kiume Piga Kura Yako Tuzo za Tafa
Mchakato unaendelea kwa kuwapigia kura waliopendekezwa kuwania tuzo za filamu Tanzania sasa ni zamu ya waigizaji bora wa kiume kwa mwaka 2015, kila mshindani anaonyesha shauku ya kutaka kuibuka mshindi wa tuzo za filamu Tanzania wote ni wakali mchangue anayemzidi mwezake.
Katika kundi hili unakutana wasanii kama Lumole Matovolwa, Jacob Stephen ‘JB’, Salim Ahmed ‘Gabo’, Omary clayton, Bicco Mathew, Brian Ibrick na Kulwa Kikumba ‘Dude’ ni mpambano wa kukata na shoka .
Piga kura kwa kufuata...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
SPORT NEWS: Haya ndiyo majina matano ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika ya BBC 2015
Na Rabi Hume
Shirika la Utangazaji la Wingereza limetangaza majina matano (5) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2015.
Katika orodha hiyo pia yupo mchezaji aliyetwa tuzo hiyo msimu uliopita, Yacine Brahimi anayekipiga katika katika klabu ya Porto inayoshiriki ligi kuu ya Ureno na timu ya Taifa ya Algeria.
Majina kamili ya wachezaji hao;
1. Pierre – Emerick Aubameyang (Gabon, Borussia Dortmund)
2. Andre Ayew (Ghana, Swansea)
3. Sadio Mane (Senegal,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK5ipVEEM3HMnseApwNwHiQ5-sI1DxAUVhhHQfUWGYyfsq8ZB15O6tuTJAWZTFMXnZaJw0egqBiTnX7qQ-CHydHo/IRENE.jpg?width=650)
IRENE PAUL: SIBAGUI DINI, KABILA KWENYE MAPENZI