Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUZO YAMTIA ‘UCHIZI’ IRENE PAUL!

Brighton Masalu
STAA wa filamu Bongo, Irene Paul ‘Smart Girl’ amezua mshangao baada ya kupiga mayowe huku akirusha mikono kushangilia tuzo aliyopata jambo lililozua miguno kwa waliomshuhudia. Staa wa filamu Bongo, Irene Paul ‘Smart Girl’ akitahayari wakati wa kuchukua tuzo. ‘Katukio’ hako ‘amazing’ kalishuhudiwa na paparazi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Jengo la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Ndoa Yamtia ‘Uchizi’

CHIZIKA! Wakati hekeheka za maandalizi zikipamba juu ya ndoa ya karne ya staa wa sinema za Kibongo, Wolper, mwanadada huyo anaonekana kuingiwa na ‘uchizi’ juu ya suala hilo ambapo muda wote anawaza ni kwa namna gani ataweza kuweka historia juu ya shughuli yake. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, hivi karibuni ndani ya Ukumbi wa Jozi

Village, jijini Dar, Wolper alisema: “akili haijakaa sawa kabisa, nawaza juu ya ndoa yangu ambayo muda si mrefu itatimia, silali, sili na sipumui vizuri, kila kitu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kutajwa Kama Muigizaji Bora wa Kike Kwenye Tuzo Za TAFA 2015, Irene Paul Ameyasema Haya

Staa mrembo wa Bongo Movies, Irene Paul  ameibuka mshindi wa tuzo za Tanzania Film Awards  (TAFA) 2015 kwenye kipengele cha muigizaji bora wa kike ‘Best Actress (in Lead Role)’ ambapo alikuwa akichuana na Irene Veda ,Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ , Rose Ndauka na Shamsa Ford.

Irene  ameeleza kuwa  filamu ya Never Give Up aliyoicheza na staa kutoka Ghana  Van Vicker ndioiliyomfanya ashind tuzo hiyo.

“Filamu iliyonifanya niwe msanii bora wa 2015 ni NEVER GIVE UP niliyoitwa na mzee kambi na...

 

11 years ago

GPL

IRENE PAUL: TUMEBUMA KIMATAIFA

Stori: Imelda Mtema
MAJANGA! Mtoto mzuri Bongo Movies, Irene Paul amefunguka kuwa licha ya wasanii wa filamu kujitutumua lakini wameshindwa kuvuka mipaka ya Kimataifa. Mtoto mzuri Bongo Movies, Irene Paul Akieleza masikitiko yake, Irene alimtaja Lupita:
“Inaniuma sana kumuona Lupita Nyongo amevuka mipaka ya Kenya kikazi, sisi tunashindwaje?” alisema… ...

 

11 years ago

GPL

IRENE PAUL ATESWA NA BIFU LA KUAMBIANA

Stori: Shani Ramadhani
MKALI wa filamu za Bongo, Irene Paul ameweka wazi kuwa anateswa na bifu lake na marehemu Adam Kuambiana kwani amefariki dunia wakiwa wamekorofishana. Mkali wa filamu za Bongo, Irene Paul Irene alisema alitofautina na Kuambiana alipokuwa akiigiza Sinema ya Broken Family, miezi kadhaa iliyopita lakini hadi jamaa huyo anapatwa na umauti, hawakuwa na maelewano. “Mimi nilikuwa na hasira, marehemu pia....

 

10 years ago

Bongo Movies

Irene Paul Kuja na Filamu ya Shukrani

Mshindi wa tuzo ya muigizaji bora wa kike 2015, Irene Paul ameandaa filamu kama zawadi  kwa mashabiki wa filamu  kwa kutambua kazi anazozifanya  na kumpigia kura nyingi zilizompa ushindi.

Akizungumza na Gazeti la Nipashe Irene alisema ana washukuru Watanzania kwa kumpokea tangu alipoingia  katika uigizaji lakini pia ameamua kutenfgeneza filamu ambayo bado hajaipa jina ikiwa ni kwaajili ya kurudisha hisani kwa wanaomkubali.

Irene ambaye alishinda tuzo hiyo ya muigizaji bora wa kike kupitia...

 

10 years ago

GPL

IRENE PAUL, DAVINA NUSU WACHAPANE!

Brighton Masalu UBABE? WASANII katika tasnia ya filamu, Irene Paul ‘Smart Girl’ na Halima Yahaya ‘Davina’ wamejikuta wakitaka kuzichapa kavukavu baada ya kushindwa kudhibiti hasira walipokuwa wakitaniana. Irene Paul Ishu hiyo ilitokea juzikati ndani ya Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar, kulipokuwa na mkusanyiko wa wasanii mbalimbali ndipo wawili hao walipotunishiana misuli.… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Irene Paul Awavaa Mastaa Wanaogombana!

Mshangao! Staa wa sinema za Kibongo, Irene Paul amewavaa baadhi ya mastaa wenzake wanaolumbana na kutenganishwa na siasa bila kujua kuna maisha baada ya uchaguzi wa Oktoba 25.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Irene alisema kuwa haoni kama ni vyema wasanii kugawanyika na kutengana kimakundi kwa sababu ya siasa ambalo ni jambo la mpito ambapo baadaye kila mtu atarudi kwenye maisha yake ya kila siku.

“Nawaomba wasanii wasijisahau kabisa kuwa maisha yao ya kila siku yatarudi hivyo wajiepushe na...

 

10 years ago

GPL

IRENE PAUL AWAVAA MASTAA WANAOGOMBANA!

Staa wa sinema za Kibongo, Irene Paul. Imelda mtema Mshangao! Staa wa sinema za Kibongo, Irene Paul amewavaa baadhi ya mastaa wenzake wanaolumbana na kutenganishwa na siasa bila kujua kuna maisha baada ya uchaguzi wa Oktoba 25. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Irene alisema kuwa haoni kama ni vyema wasanii kugawanyika na kutengana kimakundi kwa sababu ya siasa ambalo ni jambo la mpito ambapo baadaye kila mtu atarudi kwenye maisha...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nimeshatoa mimba nyingi sana-Irene Paul

Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.

Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani