Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA ADAKWA MKOANI SINGIDA KWA TUHUMA ZA KUSAMBAZA TAARIFA ZA UWONGO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike 





















Na Ismail Luhamba, SingidaJESHI la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini  Godbless Lema kwa tuhuma za kusamabaza taarifa za uongo kuwa watu 14 Wilayani Manyoni walifariki kwa kuchinjwa katika matukio mbalimbali.Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike (pichani kulia) alisema wamemkamata Mbunge...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MHE. GODBLESS LEMA AFUNGUA WARSHA YA AFYA YA UZAZI NA UKIMWI KWA VIJANA JIJINI ARUSHA

 Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema akitoa hotuba ya ufunguzi wa warsha hiyo jijini Arusha Picha ya pamoja ya washiriki pamoja na mgeni rasmi Mh. Godbless Lema.Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

 

5 years ago

The Citizen Daily

DPP vows to act tough against Arusha MP Godbless Lema

DPP vows to act tough against Arusha MP Godbless Lema  The Citizen Daily

 

5 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO CP SABAS AAGIZA MBUNGE GODBLESS LEMA ATAFUTWE, AKAMATWE POPOTE ALIPO

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Blogu ya Jamii
KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo Liberatus Sabas, amewasili mkoani Singida na kisha kutumia nafasi hiyo  ufafanuzi kuhusu matukio ya mauaji ya watu 14 yaliyotokea wilayani Manyoni mkoani humo kuanzia mwaka jana mpaka Februari mwaka huu huku akitoa maagizo ya kutafutwa na kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha  Mjini Godbless Lema.
Akizungumza leo mkoani Singida Kamishna Sabas amewaambia waandishi wa habari kuwa taarifa hizo za uongo ambazo zilisambazwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya

Weekend iliyopita ulifanyika uchaguzi kwenye jimbo la Arusha mjini kumtafuta Mbunge ambaye ataliongoza jimbo hilo kwa miaka mitano ijayo ambapo Mshindi alitangazwa kuwa Godbless Lema wa CHADEMA, pamoja na ushindi wake kutangazwa aliyekua mgombea wa CCM Philemon Mollel amejitokeza kusema ushindi ni batili. Sababu zote zilizomfanya Mollel kusema ushindi huo ni batili zipo ukibonyeza play […]

The post Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya appeared first...

 

10 years ago

Vijimambo

Godbless Lema Apata mpinzani Arusha ......Aja na Kauli mbiu "Chagua maendeleo usichague Soda"


HARAKATI za kuwania ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini zimeanza baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mustafa Abdulla Panju, kutangaza rasmi nia ya kugombea nafasi hiyo akiwa na kauli mbiu ya chagua maendeleo, usichague soda.Panju alitangaza rasmi nia hiyo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jijini hapa, ambapo aliwataka wanachama wa CCM kumuamini na kumpa nafasi ili apeperushe bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huuAidha, alisema...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE LEMA APANDISHWA KIZIMBANI SINGIDA ATUHUMIWA MAKOSA 15


Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Godbles Jonathan Lema akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mjini Singida ambapo alisomewa mashitaka akituhumiwa kwa makosa 15.
Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Godbles Jonathan Lema akizungumza na wanasheria na makada wa chama hicho baada ya kusomewa mashitaka.



Na Ismail Luhamba, Singida


MBUNGE wa Arusha Mjini na...

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE LEMA APANDISHWA KIZIMBANI SINGIDA ATUHUMIWA MAKOSA 15

Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Godbles Jonathan Lema akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mjini Singida ambapo alisomewa mashitaka akituhumiwa kwa makosa 15.
Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Godbles Jonathan Lema akizungumza na wanasheria na makada wa chama hicho baada ya kusomewa mashitaka.



Na Ismail Luhamba, Singida


MBUNGE wa Arusha Mjini...

 

11 years ago

Michuzi

News alert: mtu mmoja adakwa na vipande 21 vya meno ya tembo mkoani singida leo

Jeshi la polisi mkoani SINGIDA limekamata vipande 21 vya meno ya Tembo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 43.   Nyara hizo za serikali zimekamatwa katika kijiji cha Mwamagembe  wilayani Manyoni  zikisafirishwa kwenda Itigi, mkoani Singida.   Mtu mmoja  George James amekamatwa kwa tuhuma za kukutwa na meno  hayo ya tembo yakiwa yamehifadhiwa katika mabegi mawili ya kusafiria.   Mtuhumiwa huyo alikamatwa katika kizuizi cha idara ya maliasili kilichoko katika kijiji Ukimbu, kata  ya...

 

11 years ago

Habarileo

Lema: Mimi Mbunge wa milele Arusha

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ametamba kuwa yeye ni Mbunge wa milele katika jimbo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani