KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO CP SABAS AAGIZA MBUNGE GODBLESS LEMA ATAFUTWE, AKAMATWE POPOTE ALIPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7XMOhU2kcfw/Xl5rcpFE7DI/AAAAAAALgw8/YJC6mFvtXzwT9Y3cJcwdiAgQbmWQhQHoQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Blogu ya Jamii
KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo Liberatus Sabas, amewasili mkoani Singida na kisha kutumia nafasi hiyo ufafanuzi kuhusu matukio ya mauaji ya watu 14 yaliyotokea wilayani Manyoni mkoani humo kuanzia mwaka jana mpaka Februari mwaka huu huku akitoa maagizo ya kutafutwa na kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.
Akizungumza leo mkoani Singida Kamishna Sabas amewaambia waandishi wa habari kuwa taarifa hizo za uongo ambazo zilisambazwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bNZ5imqQQLI/Xl5FrgZ_RYI/AAAAAAAAkUA/CFGBrsP3aqAE9s0pZljFpxgIoRHuQvtHQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0091.jpg)
MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA ADAKWA MKOANI SINGIDA KWA TUHUMA ZA KUSAMBAZA TAARIFA ZA UWONGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-bNZ5imqQQLI/Xl5FrgZ_RYI/AAAAAAAAkUA/CFGBrsP3aqAE9s0pZljFpxgIoRHuQvtHQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_0091.jpg)
Na Ismail Luhamba, SingidaJESHI la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kwa tuhuma za kusamabaza taarifa za uongo kuwa watu 14 Wilayani Manyoni walifariki kwa kuchinjwa katika matukio mbalimbali.Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike (pichani kulia) alisema wamemkamata Mbunge...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-cwGvojgeDO4/Vm9dzOEu4kI/AAAAAAAAXb8/PmwraiuJQ-Y/s72-c/pic%252Blema.jpg)
GODBLESS LEMA AREJEA BUNGENI
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-p--aAKpUaFs/U_yAQTgotDI/AAAAAAAABic/e562o20FmP8/s72-c/Sabas%2BA%2Btown.jpg)
Kamanda Sabas amuumbua Lema
NA SHAABAN MDOE, ARUSHAKAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas amemzima mbunge wa Arusha, Godbless Lema kwa kumweleza kuwa jeshi hilo haliwajibiki kutoa taarifa za uhalifu kwa Waziri Kivuli wa Wizara ya Mambo ya Ndani. Kauli ya Kamanda Sabas imetokana na Lema kudai kuwa jeshi hilo haliwasilishi kwake taarifa za matukio ya kihalifu yanayotokea Arusha na kwamba, hiyo inaonyesha ni dharau. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda Sabas alisema polisi hawawajibiki kutoa taarifa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Fk5g0t9PHmg/VQx_JOEWitI/AAAAAAAHLv8/Qj7ltfTx9mk/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
MHE. GODBLESS LEMA ATUNGIWA NYIMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fk5g0t9PHmg/VQx_JOEWitI/AAAAAAAHLv8/Qj7ltfTx9mk/s1600/unnamed%2B(69).jpg)
5 years ago
The Citizen Daily12 Mar
DPP vows to act tough against Arusha MP Godbless Lema
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa69wmmAtUesjixnZRR4btYFfIds3lj8CPYbGa0einsEGUZBg*wCC5eabsvWLqR8lTFSjchBsfNQd0MMuTjBK7zh/lemapix.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI GODBLESS LEMA, NINGETHIBITISHA KAULI YANGU KUHUSU CHAGONJA
9 years ago
Mwananchi26 Nov
DC aagiza mratibu wa maabara akamatwe
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya
Weekend iliyopita ulifanyika uchaguzi kwenye jimbo la Arusha mjini kumtafuta Mbunge ambaye ataliongoza jimbo hilo kwa miaka mitano ijayo ambapo Mshindi alitangazwa kuwa Godbless Lema wa CHADEMA, pamoja na ushindi wake kutangazwa aliyekua mgombea wa CCM Philemon Mollel amejitokeza kusema ushindi ni batili. Sababu zote zilizomfanya Mollel kusema ushindi huo ni batili zipo ukibonyeza play […]
The post Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya appeared first...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sG5QPHdk7n8/XkZ3gW01D0I/AAAAAAALdWE/Ow7X1CRsyaczW3-pVUS6qj3ZOld_F-SRACLcBGAsYHQ/s72-c/1-1AA-1-1024x682.jpg)
KAMISHNA WA JESHI LA POLISI, CP SABAS APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 10 KUTOKA KAMPUNI YA KINGLION
![](https://1.bp.blogspot.com/-sG5QPHdk7n8/XkZ3gW01D0I/AAAAAAALdWE/Ow7X1CRsyaczW3-pVUS6qj3ZOld_F-SRACLcBGAsYHQ/s640/1-1AA-1-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-1AA-1-1024x682.jpg)