DC aagiza mratibu wa maabara akamatwe
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara halmasharuri ya mji anayedaiwa kujaribu kuiba vifaa vya kupimia malaria, MRDT.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7XMOhU2kcfw/Xl5rcpFE7DI/AAAAAAALgw8/YJC6mFvtXzwT9Y3cJcwdiAgQbmWQhQHoQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO CP SABAS AAGIZA MBUNGE GODBLESS LEMA ATAFUTWE, AKAMATWE POPOTE ALIPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7XMOhU2kcfw/Xl5rcpFE7DI/AAAAAAALgw8/YJC6mFvtXzwT9Y3cJcwdiAgQbmWQhQHoQCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo Liberatus Sabas, amewasili mkoani Singida na kisha kutumia nafasi hiyo ufafanuzi kuhusu matukio ya mauaji ya watu 14 yaliyotokea wilayani Manyoni mkoani humo kuanzia mwaka jana mpaka Februari mwaka huu huku akitoa maagizo ya kutafutwa na kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.
Akizungumza leo mkoani Singida Kamishna Sabas amewaambia waandishi wa habari kuwa taarifa hizo za uongo ambazo zilisambazwa...
9 years ago
StarTV27 Nov
 Mratibu Maabara Korogwe kukamatwa  kwa Jaribio La Kuiba Vipimo Vya Malaria
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara wa halmashauri ya mji huo kwa madai ya kufanya jaribio la wizi wa vipimo vya kupimia ugonjwa wa Malaria MRDT.
Basondole anatuhumiwa kuchukua boksi la vifaa hivyo kutoka halmashauri ya wilaya ya Korogwe vijijini akidai Halmashauri ya Mji wa Korogwe anakofanya kazi kuna upungufu wa vifaa hivyo.
Ofisa wa dawa wa halmashauri ya wilaya ya Korogwe Issa Mkwawa amesema tukili lilo limetokea Novemba 11 na...
10 years ago
Habarileo12 Jan
Mwanry aagiza halmashauri kutoa takwimu za maabara
NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Aggrey Mwanri, ameziagiza halmashauri zote nchini kuhakikisha zinatoa takwimu ya vyumba vya madarasa walivyobadilisha matumizi yake na kuvifanya vyumba vya maabara.
10 years ago
Mwananchi29 Oct
RC Morogoro aagiza shule zote zijengwe vyumba vya maabara
5 years ago
MichuziWAZIRI MPINA ASHTUKIA UPIGAJI WA BILIONI 2.6 UJENZI MAABARA YA UVUVI, AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA NDANI YA SIKU 7
Waziriwa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata maelezo ya namna ya shughuli yaujenziwa mradi wa jengo la Maabara ya Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania(TAFIRI) Kituo cha Dar es Salaam kutoka kwa Mkandarasi wa Kampuni yaPetra Constuction co. Limited, NicholausMlayi alipotembelea mradi huo Kunduchi Dar es Salaam.
Waziriwa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata ufafanuzi kutoka kwa Mshauri Mwelekezi wa Kampuni ya Y&P Architect inayosimamia Mradi wa Ujenzi wa Maabara ya
Taasisi ya Utafiti wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p1am9lEC2hQ/U74_ydaPZqI/AAAAAAAF0Yg/k9E9o0_2wOc/s72-c/unnamed+(70).jpg)
JK afungua ukumbi wa mihadhara CHUO cha SEKOMU, aagiza wilaya zote nchini zijenge maabara katika kila shule
![](http://4.bp.blogspot.com/-p1am9lEC2hQ/U74_ydaPZqI/AAAAAAAF0Yg/k9E9o0_2wOc/s1600/unnamed+(70).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JnvaSd_RIVY/U74_ybQ9weI/AAAAAAAF0Yo/mvDNvWmORHA/s1600/unnamed+(71).jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK4wW9p9cAw4goKCUiq*lB0s4wV74i4RyIueJCMIFGaUEfq5XZBTXLe1GXa*8WlGo4D3bXJEKa1KLOtP*J1P10va/masogange.jpg?width=650)
WAZIRI ATAKA MASOGANGE AKAMATWE
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mahakama: Mtuhumiwa kesi ya twiga akamatwe