Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
Desemba 9 mwaka jana ndiyo ulikuwa mwisho wa utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhusu ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Serikali nchi nzima.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Jul
Maabara Namtumbo 95%
AGIZO la Rais Jakaya Kikwete la ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule zote za sekondari nchini, limetekezwa vizuri wilayani Namtumbo, ambapo wananchi kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya wamefanikisha kazi hiyo kwa asilimia 95.
10 years ago
Habarileo11 Jul
Namtumbo wakamilisha maabara
AGIZO la Rais Jakaya Kikwete la ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule zote za sekondari nchini, limetekelezwa vizuri wilayani Namtumbo ambapo wananchi kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya wamefanikisha kazi hiyo kwa asilimia 95.
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Maabara za JK zataabisha wananchi
AGIZO la Rais Jakaya Kikwete kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini, kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara ifikapo Novemba mwaka huu, limekuwa mwiba mchungu kutokana na baadhi ya watendaji kujitwalia madaraka...
10 years ago
Habarileo07 Jan
‘Ma-DC undeni kamati za maabara’
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ameagiza wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zote, kuunda kamati za ufuatiliaji wa ujenzi na ukamilishaji wa maabara tatu za Kemia, Bayolojia na Fizikia kwa muda uliopangwa.
9 years ago
Habarileo26 Aug
JK apongezwa kwa maabara
KIONGOZI wa mbio za Mwenge kitaifa mwaka huu, Juma Khatib Chum amesema dhamira ya serikali ya awamu ya nne kuanzisha ujenzi wa vyumba vya maabara za sayansi katika shule za sekondari za kata umelenga kuifanya Tanzania kuwa ya kisayansi.
10 years ago
Habarileo08 Feb
Mikoa 6 taabani ujenzi wa maabara
MIKOA sita ‘imevurunda’ katika ujenzi wa maabara katika shule za sekondari baada ya kushindwa kufikia malengo. Ni mikoa mitatu pekee ndiyo imefanya vizuri kwa kuvuka nusu ya malengo.
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Korea yakabidhi maabara Mawelewele
SERIKALI ya Korea kupitia shirika lake la kimataifa la Maendeleo Koica, imekabidhi jengo la maabara kwa uongozi wa Shule ya Sekondari Mawelewele iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kwa...
10 years ago
Habarileo15 Nov
Tigo yachangia maabara sekondari
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo, imetangaza kuchangia vifaa katika maabara ya shule za sekondari ambazo zimekwishajengwa wilayani Mtwara.
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Maabara zawavutia wanafunzi masomo
NA SAMWEL MWANGA
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Mwamishali wilayani Meatu wameanza kusoma masomo ya sayansi kwa vitendo huku wakipongeza uamuzi wa Rais Kikwete wa kuagiza ujenzi wa maabara kwa shule zote za kata.
Pongezi hiyo zilitolewa jana ba Mariamu Mwirabi, mbele ya Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Juma Khatib Chum alipofungua
vyumba vitatu vya maabara katika shule hiyo.
Mwirabi alisema kabla ya agizo hilo walikuwa wakisoma masomo ya sayansi kwa kutumia picha na michoro hali...