Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara

Desemba 9 mwaka jana ndiyo ulikuwa mwisho wa utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhusu ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Serikali nchi nzima.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Maabara Namtumbo 95%

AGIZO la Rais Jakaya Kikwete la ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule zote za sekondari nchini, limetekezwa vizuri wilayani Namtumbo, ambapo wananchi kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya wamefanikisha kazi hiyo kwa asilimia 95.

 

10 years ago

Habarileo

Namtumbo wakamilisha maabara

AGIZO la Rais Jakaya Kikwete la ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule zote za sekondari nchini, limetekelezwa vizuri wilayani Namtumbo ambapo wananchi kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya wamefanikisha kazi hiyo kwa asilimia 95.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maabara za JK zataabisha wananchi

AGIZO la Rais Jakaya Kikwete kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini, kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara ifikapo Novemba mwaka huu, limekuwa mwiba mchungu kutokana na baadhi ya watendaji kujitwalia madaraka...

 

10 years ago

Habarileo

‘Ma-DC undeni kamati za maabara’

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ameagiza wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zote, kuunda kamati za ufuatiliaji wa ujenzi na ukamilishaji wa maabara tatu za Kemia, Bayolojia na Fizikia kwa muda uliopangwa.

 

9 years ago

Habarileo

JK apongezwa kwa maabara

KIONGOZI wa mbio za Mwenge kitaifa mwaka huu, Juma Khatib Chum amesema dhamira ya serikali ya awamu ya nne kuanzisha ujenzi wa vyumba vya maabara za sayansi katika shule za sekondari za kata umelenga kuifanya Tanzania kuwa ya kisayansi.

 

10 years ago

Habarileo

Mikoa 6 taabani ujenzi wa maabara

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.MIKOA sita ‘imevurunda’ katika ujenzi wa maabara katika shule za sekondari baada ya kushindwa kufikia malengo. Ni mikoa mitatu pekee ndiyo imefanya vizuri kwa kuvuka nusu ya malengo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Korea yakabidhi maabara Mawelewele

SERIKALI ya Korea kupitia shirika lake la kimataifa la Maendeleo Koica, imekabidhi jengo la maabara kwa uongozi wa Shule ya Sekondari Mawelewele iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Tigo yachangia maabara sekondari

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo, imetangaza kuchangia vifaa katika maabara ya shule za sekondari ambazo zimekwishajengwa wilayani Mtwara.

 

9 years ago

Mtanzania

Maabara zawavutia wanafunzi masomo

NA SAMWEL MWANGA

WANAFUNZI wa  Shule ya Sekondari Mwamishali  wilayani Meatu  wameanza kusoma masomo ya sayansi kwa vitendo huku wakipongeza uamuzi wa Rais Kikwete wa kuagiza ujenzi wa maabara kwa shule zote za kata.

Pongezi hiyo zilitolewa jana   ba  Mariamu Mwirabi,  mbele ya Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Juma Khatib Chum  alipofungua
vyumba vitatu vya maabara katika shule hiyo.

Mwirabi alisema kabla ya agizo hilo walikuwa wakisoma masomo ya sayansi kwa kutumia picha na michoro hali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani