Namtumbo wakamilisha maabara
AGIZO la Rais Jakaya Kikwete la ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule zote za sekondari nchini, limetekelezwa vizuri wilayani Namtumbo ambapo wananchi kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya wamefanikisha kazi hiyo kwa asilimia 95.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Jul
Maabara Namtumbo 95%
AGIZO la Rais Jakaya Kikwete la ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule zote za sekondari nchini, limetekezwa vizuri wilayani Namtumbo, ambapo wananchi kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya wamefanikisha kazi hiyo kwa asilimia 95.
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Rais Kikwete afungua Barabara ya Songea-Namtumbo, azindua Hospitali mpya ya Wilaya ya Namtumbo leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwagilia maji mti wa kumbukumbu aliupanda muda mfupi baada ya kuzindua barabara ya Songea hadi Namtumbo yenye urefu wa kilomita 71.4 katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Migelegele wilayani Namtumbo leo. Wapili kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Watatu ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile, Wanne ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania Bwana Bernard Mchomvu,Wapili kulia ni mbunge wa Namtumbo Vita...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
10 years ago
Habarileo12 Mar
Washirika wa maendeleo wakamilisha uchangiaji
WASHIRIKA wa Maendeleo nchini wanaosaidia bajeti wamekubali kutoa asilimia tano ya fedha zilizokuwa zimebakia ili kukamilisha uchangiaji wa bajeti kwa mwaka 2014/15 baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya sakata la wizi wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
Habarileo04 Oct
Mahujaji milioni 2 wakamilisha hija
ZAIDI ya mahujaji milioni 1.3 kutoka kila pembe ya dunia jana walitumia siku nzima katika viwanja vya Arafat vilivyoko kilometa 15 kutoka jiji la Makkah kukamilisha kilele za ibada ya Hija ya mwaka huu.
9 years ago
Habarileo12 Sep
Plan wakamilisha mradi wa milioni 164/-
VIJIJI sita wilayani Kisarawe mkoa wa Pwani vina uhakika wa kupata maji safi na salama baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa maji safi na salama uliotekelezwa na Shirika la Plan International na kugharimu Sh milioni 164.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Kenya, Uganda, Rwanda wakamilisha vitambulisho vya uraia
WANANCHI wa mataifa ya Rwanda, Uganda na Kenya wamepokea kwa shangwe kuanza kwa mpango wa kutumika kwa vitambulisho vya uraia kama cheti cha kuwaruhusu kuvuka mipaka na kuingia miongoni mwa...
10 years ago
Michuzi29 Jul
WAGOMBEA UBUNGE CCM WAKAMILISHA KAMPENI ZAO KATIKA KATA 25 JIJINI ARUSHA
![SAM_4554](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/mj0KQT2RuNVwlGjXlczbH5iSslxTfWlf6HY52g67uWRA6vkpzcXATEnQQMQRwQpl5Dhr3XhN-mxrE5dd8ReqO5Kyrkz5UHfrQbDxo_QUlt3Jl94=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4554.jpg)
![SAM_4518](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/7uiysglymKWhmZra--QPgej1DezVaIcKeqJU0BBWTYBL4rYHf2puT8W_nMGW8AH0FFrmSxhC8VlK7OWahBoc5vhlyBnZvHSDm4zRjSFb_oNo2S8=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4518.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Green Waste Pro Ltd wakamilisha kampeni ya usafi kwa ufanisi, TICTS nao washiriki
Baadhi ya wafanyakazi Kampuni ya Kupakua na Kupakia Kontena Bandarini (TICTS) wakiwasili kwenye ufukwe wa bahari ya hindi maeneo Kata ya Kivukoni kwa ajili ya kushiriki zoezi la kusafisha fukwe hizo katika kuhitimisha kampeni usafi iliyokuwa ikiendeshwa na Kampuni ya Green Waste Pro Ltd mwishoni mwa juma.
Na Mwandishi wetu
KAMPENI kubwa ya kuhamasisha usafi iliyokuwa inaendeshwa kampuni ya Green Waste Pro Ltd katika kata tatu za katikati ya jiji imemalizika kwa ufanisi mkubwa kiasi cha...