Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Plan wakamilisha mradi wa milioni 164/-

VIJIJI sita wilayani Kisarawe mkoa wa Pwani vina uhakika wa kupata maji safi na salama baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa maji safi na salama uliotekelezwa na Shirika la Plan International na kugharimu Sh milioni 164.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mahujaji milioni 2 wakamilisha hija

ZAIDI ya mahujaji milioni 1.3 kutoka kila pembe ya dunia jana walitumia siku nzima katika viwanja vya Arafat vilivyoko kilometa 15 kutoka jiji la Makkah kukamilisha kilele za ibada ya Hija ya mwaka huu.

 

5 years ago

Metro.Co.Uk

Number of UK coronavirus cases jumps by 49 to 164

Number of UK coronavirus cases jumps by 49 to 164  Metro.co.ukCoronavirus: UK still 'in containment phase' of virus response  BBC NewsCoronavirus test: How do they test for coronavirus?  ExpressCoronavirus in the UK: a brief survival guide  Financial TimesCoronavirus: Advice for people with health conditions  BBC NewsView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Mwananchi

Sekondari yakabidhiwa mradi wa Sh41 milioni

 Mradi wa gesi inayotumia kinyesi cha binadamu na wanyama wenye thamani ya zaidi ya Sh41 milioni umezinduliwa na kukabidhiwa kwa Sekondari ya Ilasi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mradi wa maji kutumia Sh500 milioni

Mradi wa Ujenzi wa Mabomba ya Maji, Mtaa wa Mpiji Magoe, Kinondoni jijini Dar es Salaam unatarajiwa kutumia kiasi cha Sh500 milioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dola milioni 136 kutumika mradi umeme wa upepo

DOLA milioni 136 za Marekani zitatumika katika mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu za upepo kwa awamu ya kwanza ya uzalishaji wa MW 50 mkoani Singida. Fedha hizo pia...

 

10 years ago

Michuzi

NBC YAMWAGA MILIONI 62 KUSAIDIA MRADI WA USIMAMIZI WA TAKA

Meneja Miradi wa Envirocare, Bw Isreal Richard (kulia) akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja ya mradi wa majaribio wa usimamizi wa taka kwa utunzaji mazingira na ustawi wa jamii jijini Dar es Salaam leo. Mradi unaendeshwa na Envirocare kwa ufadhili wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC).Ofisa Afya Mazingira wa Manispaa ya Kinondoni, Kawa Kafuru (kulia) akizungumza na washiriki wa semina hiyo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

5 years ago

StarTV

YURO MILIONI 3 zatengwa kwaajili ya mradi wa nishati mbadala Zanzibar

Kiasi cha yuro milioni tatu zinategemewa kutumika katika kufanikisha  upembuzi yakinifu wa mradi wa kutafuta umeme mbadala kwa zanzibar wa upepo na nishati ya jua ili kukabiliana na changamoto ya kutegemea umeme wa mfumo mmoja tu wa kutumia cable kutoka Tanzania Bara. Fedha hizo kutoka Jumuiya ya Ulaya zinategemewa kuiwezesha Zanzibar kuwa na njia nyengine …

 

9 years ago

Vijimambo

MKURANGA KUFAIDIKA NA MRADI WA MAJI YA KISIMA UTAKAOZALISHA LITA MILIONI 1.8 KWA SIKU

Afisa Uhusiano wa Jamii wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA), Mecky Mdaku, akigusa maji yanayotiririka kutoka kwenye kisima kirefu chenye urefu wa mita 541, eneo la Mkwalia, wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani leo Septemba 17, 2015. Kisima hicho kinamechimbwa na Kampuni ya Uchimbaji wa Visima ya ZENTAS kutoka Uturuki.na kinatarajiwa kuzalisha maji lita milioni 1.8 kwa siku.Kiongozi wa waendesha mitambo ya uchimbaji visima wa kampuni ya ZENTAS Bw. Sima Teodor ( kushoto) akitoa maelezo...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU DODOMA YAOKOA MILIONI 297 NA KUSAIDIA KUKAMILIKA MRADI WA MAJI UTAKAOHUDUMIA WANANCHI 5000

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Dodoma (TAKUKURU) Sosthenes Kibwengo akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake leo kuhusiana na tathimini ya robo ya mwaka kwa mwezi Januari hadi Machi.
Charles James, Michuzi TVTAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Dodoma katika kufuatilia miradi ya maendeleo imewezesha mradi wa maji wa kijiji cha Mlongia wilayani Chemba kutoa maji na kuwafaidisha wananchi zaidi ya 5000 ambao awali hawakua na huduma ya maji.

Mradi huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani