YURO MILIONI 3 zatengwa kwaajili ya mradi wa nishati mbadala Zanzibar
Kiasi cha yuro milioni tatu zinategemewa kutumika katika kufanikisha upembuzi yakinifu wa mradi wa kutafuta umeme mbadala kwa zanzibar wa upepo na nishati ya jua ili kukabiliana na changamoto ya kutegemea umeme wa mfumo mmoja tu wa kutumia cable kutoka Tanzania Bara. Fedha hizo kutoka Jumuiya ya Ulaya zinategemewa kuiwezesha Zanzibar kuwa na njia nyengine …
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi04 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s72-c/IMG_3318.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU KWAAJILI YA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA SERA YA NISHATI NA MADINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s640/IMG_3318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eP1noyCn96g/VY0lnwv1nfI/AAAAAAAHkNg/m_fD72zB-aI/s640/IMG_3291.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Milioni 65/- zatengwa Mbarali kwa ajili ya wajawazito
SHILINGI milioni 65 zimetengwa mwaka huu na Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kwa ajili ya huduma ya uzazi kwa akina mama wanaofika kujifungua Hospitali ya Misheni ya Lutheran...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/4q5rpFEVtGc/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
Dola Milioni 17 zatengwa kunufaisha wavuvi wa ukanda wa bahari Tanzania bara!!
Baadhi ya wavuvi wakiandaa nyavu zao kwa ajili ya kwenda kufanya shughuli zao za uvuvi..
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Wavuvi wa ukanda wa bahari ya Hindi wanatarajiwa kunufaika na mradi wa Udhibiti wa Uvuvi na Maendeleo Shirikishi Kusini Magharibi mwa Bahari ya Hindi (SWIOFISH) ambao mradi unagharimu kiasi cha Dola Milioni 36 ambazo zimetolewa na mashirika ya kimataifa ili kufanikisha mradi huo.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Habari Maelezo, Mkuu wa kitengo cha...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
EAC kujadili nishati mbadala, nafuu
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Wananchi watakiwa kutumia nishati mbadala
MTAFITI wa Taasisi ya Uchumi na Jamii (ESRF), Solomon Balegu ametaka Watanzania kutumia nishati mbadala ili kuepuka mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Balegu alisema kuwa ikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HXpd2v5aH0I/XmD6ZjomU4I/AAAAAAALhPQ/9Ae0jRxrY-UM0slbBHflt7M8aA3cOe5vACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI ZUNGU AKUTANA NA WADAU WA NISHATI MBADALA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HXpd2v5aH0I/XmD6ZjomU4I/AAAAAAALhPQ/9Ae0jRxrY-UM0slbBHflt7M8aA3cOe5vACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Pv2I7icnzWQ/XmD6ZywsnvI/AAAAAAALhPU/rPlHgI-HHqsoS4xs5_rJ7Ybmpg6HLn4JwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pBEy4yw45qY/VFOLO3VjtkI/AAAAAAAAMl0/DdXDXhGGxF8/s72-c/b1.jpg)
DKT. MENGI AFUNGUA KONGAMANO LA NISHATI MBADALA NA MAONYESHO LA AFRIKA MASHARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-pBEy4yw45qY/VFOLO3VjtkI/AAAAAAAAMl0/DdXDXhGGxF8/s640/b1.jpg)