Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EAC kujadili nishati mbadala, nafuu

Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zitakukutana jijini Dar es Salaam kujadili mikakati ya upatikanaji umeme wa uhakika kwa bei nafuu kwa kutumia nishati mbadala.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE AFUNGUA MKUTANO WA KUJADILI NISHATI ENDELEVU NCHINI KWA WOTE

 Waziri wa Nishati na Madini  George Simbachawene akifungua mkutano  kwa ajili ya  kujadili nishati endelevu  nchini kwa wote ( Tanzania Sustainable  Energy for  All)  ulioshirikisha  sekta binfasi,  wataamu  kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wadau wa nishati nchini.  Mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya   Protea jijini  Dar es Salaam  lengo lake lilikuwa ni kubadilishana uzoefu kwa ajili ya kuboresha  sekta ya umeme  nchini. 

 Meneja   Hifadhi kutoka Shirika la WWF Nchini Dk....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi watakiwa kutumia nishati mbadala

MTAFITI wa Taasisi ya Uchumi na Jamii (ESRF), Solomon Balegu ametaka Watanzania kutumia nishati mbadala ili kuepuka mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Balegu alisema kuwa ikiwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU AKUTANA NA WADAU WA NISHATI MBADALA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiongea na ujumbe kutoka Oryx gas Tanzania waliomtembelea Ofisini kwake Luthuli jijini Dar es Salaamikiwa ni maongezi juu matumizi ya gesi katika kupunguza wimbi la ukataji miti.  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiwa katika mazungumzo na ujumbe wa Kampuni ya Burn Stove kutoka Kenya ambao walimtebelea Ofisini kwake Luthuli jijini Dar es Salaam ikiwa ni kwa ajili...

 

5 years ago

StarTV

YURO MILIONI 3 zatengwa kwaajili ya mradi wa nishati mbadala Zanzibar

Kiasi cha yuro milioni tatu zinategemewa kutumika katika kufanikisha  upembuzi yakinifu wa mradi wa kutafuta umeme mbadala kwa zanzibar wa upepo na nishati ya jua ili kukabiliana na changamoto ya kutegemea umeme wa mfumo mmoja tu wa kutumia cable kutoka Tanzania Bara. Fedha hizo kutoka Jumuiya ya Ulaya zinategemewa kuiwezesha Zanzibar kuwa na njia nyengine …

 

10 years ago

Vijimambo

DKT. MENGI AFUNGUA KONGAMANO LA NISHATI MBADALA NA MAONYESHO LA AFRIKA MASHARIKI

Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Nchini, ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendajiw a IPP, Dkt. Reginald Mengi, akitoa hotuba ya ufunguzi wa kongamano na maonyesho ya nishati mbadala kanda ya Afrika Mashariki, kwenye ukumbi wa kituo cha mikutano cha kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Oktoba 31, 2014. Wengine pichani ni Mkurugenzi Mtendajiw a Baraza la Biashara la Afrika Mashariki, Andrew LuzzeMwanzilishi mwenza wa kampuni ya OFF. GRID ELECRTIC, Erica Mackey, akizungumzia...

 

5 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA SHIRIKA LA FORUMCC KUTOKA MBALIMBALI NCHINI WAPIGWA MSASA KUHUSU UTUMIAJI WA NISHATI MBADALA KATIKA KILIMO


Moja ya watalaam wa masuala ya kilimo biashara akielezea namna bora ya upandaji mgomba wakati wanachama wa FORUMCC walipokuwa kwenye ziara ya kimafunzo kutembelea katika moja ya shamba lililoko Chuo Kikuu cha Kilimo(SUA).
Baadhi ya wanachama wa FORUMCC ambao wako kwenye kwenye ziara ya kimafunzo mkoani Morogoro kujifunza namna ambavyo nishati jadidifu inavyoweza kutumika katika shughuli za kilimo kama njia mojawapo ya kukabilina na athari za mabadiliko ya tabianchi.Ziara hiyo ya kimafunzo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Airtel na GSMA waandaa semina kuhamashisha matumizi ya Nishati mbadala rafiki wa mazingira Dar — Green Power Energy

SONY DSC

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa  (wa pili kushoto), akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso, baada ya kuzindua warsha ya siku mbili ya Nishati ya mbadala kwa wadau wa Mawasiliano ya simu ya GSMA, inayofanyika jijini Dar es Salaam.  Kulia ni Meneja wa Programu wa GSMA Mobile, Ferdous Mottakin na Afisa Mtendaji Mkuu wa Airtel Africa Towers Services Ltd, Prakash Ranjalkar.

SONY DSC

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof....

 

10 years ago

Michuzi

Airtel na GSMA waandaa semina kuhamashisha matumizi ya Nishati mbadala rafiki wa mazingira Dar es Salaam - Green Power Energy

Bharti Airtel, kampuni ya mawasiliano ya kimataifa yenye shughuli katika nchi 20 mbalimbali Asia na Afrika, leo imeshiriki kuandaa semina ya GSMA inayofanyika Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo tarehe 12 na 13 Agosti 2014 katika hoteli ya Serena.  Semina hiyo ya kimataifa ya GSMA inalenga zaidi kutazama maendelea ya sekta ya Mawasiliano kwa kuangalia Zaidi mipango, mafanikio na fursa ya baadaye ya mawasiliano ya nishati mbadala rafiki kwa mazingirana yaani –green telecoms, pia itaendesha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani