Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi watakiwa kutumia nishati mbadala

MTAFITI wa Taasisi ya Uchumi na Jamii (ESRF), Solomon Balegu ametaka Watanzania kutumia nishati mbadala ili kuepuka mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Balegu alisema kuwa ikiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

EAC kujadili nishati mbadala, nafuu

Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zitakukutana jijini Dar es Salaam kujadili mikakati ya upatikanaji umeme wa uhakika kwa bei nafuu kwa kutumia nishati mbadala.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU AKUTANA NA WADAU WA NISHATI MBADALA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiongea na ujumbe kutoka Oryx gas Tanzania waliomtembelea Ofisini kwake Luthuli jijini Dar es Salaamikiwa ni maongezi juu matumizi ya gesi katika kupunguza wimbi la ukataji miti.  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiwa katika mazungumzo na ujumbe wa Kampuni ya Burn Stove kutoka Kenya ambao walimtebelea Ofisini kwake Luthuli jijini Dar es Salaam ikiwa ni kwa ajili...

 

5 years ago

StarTV

YURO MILIONI 3 zatengwa kwaajili ya mradi wa nishati mbadala Zanzibar

Kiasi cha yuro milioni tatu zinategemewa kutumika katika kufanikisha  upembuzi yakinifu wa mradi wa kutafuta umeme mbadala kwa zanzibar wa upepo na nishati ya jua ili kukabiliana na changamoto ya kutegemea umeme wa mfumo mmoja tu wa kutumia cable kutoka Tanzania Bara. Fedha hizo kutoka Jumuiya ya Ulaya zinategemewa kuiwezesha Zanzibar kuwa na njia nyengine …

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kutumia njia mbadala Iraq

Marekani inafikiria kutumia njia mbadala za kuwaokoa maelfu ya Wayazidi nchini Iraq.

 

10 years ago

Vijimambo

DKT. MENGI AFUNGUA KONGAMANO LA NISHATI MBADALA NA MAONYESHO LA AFRIKA MASHARIKI

Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Nchini, ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendajiw a IPP, Dkt. Reginald Mengi, akitoa hotuba ya ufunguzi wa kongamano na maonyesho ya nishati mbadala kanda ya Afrika Mashariki, kwenye ukumbi wa kituo cha mikutano cha kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Oktoba 31, 2014. Wengine pichani ni Mkurugenzi Mtendajiw a Baraza la Biashara la Afrika Mashariki, Andrew LuzzeMwanzilishi mwenza wa kampuni ya OFF. GRID ELECRTIC, Erica Mackey, akizungumzia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtwara watakiwa kulima mazao mbadala

WANANCHI mkoani Mtwara wamehimizwa kulima mazao mbadala ya biashara na sio kutegemea kilimo cha korosho pekee. Wito huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lindi, Mtwara watakiwa kulima mazao mbadala

MADIWANI wametakiwa kuwahimiza wananchi  katika maeneo yao kuona umuhimu wa kulima mazao  ya mbegu za mafuta kama vile alizeti, ufuta na karanga kwa mikoa ya Lindi na Mtwara na si...

 

9 years ago

StarTV

Viongozi wa kamati watakiwa kuandaa njia mbadala ya kukabiliana na maafa

Wenyeviti wa kamati za maafa na majanga za wilaya wametakiwa  kuwa na njia mbadala za kukabiliana na maafa na majanga kabla hayajatokea badala ya kusubiri mpaka yatokee ndipo wayafanyie kazi.

Aidha wametakiwa pia kutumia sheria na taratibu za vijiji ili kukabiliana na maafa na majanga yayoweza kuzuilika ikiwemo kuzuia shughuli zinazofanywa na binadamu na kuchangia uharibifu wa mazingira.

 mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstafuu Chiku Galawa ameyasema hayo  katika warsha ya kuwasilisha tathmini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani