Viongozi wa kamati watakiwa kuandaa njia mbadala ya kukabiliana na maafa
Wenyeviti wa kamati za maafa na majanga za wilaya wametakiwa kuwa na njia mbadala za kukabiliana na maafa na majanga kabla hayajatokea badala ya kusubiri mpaka yatokee ndipo wayafanyie kazi.
Aidha wametakiwa pia kutumia sheria na taratibu za vijiji ili kukabiliana na maafa na majanga yayoweza kuzuilika ikiwemo kuzuia shughuli zinazofanywa na binadamu na kuchangia uharibifu wa mazingira.
mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstafuu Chiku Galawa ameyasema hayo katika warsha ya kuwasilisha tathmini...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKAMATI ZA MAAFA MKOANI DODOMA WAFANYA TATHMINI YA MPANGO WA KUJIANDAA NA KUKABILIANA NA MAAFA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-agvZJ59Wvng/Xn0BensfosI/AAAAAAALlOE/5htIPeaTAgg-jTxdCod8_VHGLfzo5MbVQCLcBGAsYHQ/s72-c/e18598fd-1179-4577-b7b6-28292bff4cef.jpg)
MAJALIWA: KAMATI ZA MAAFA ZIUNGANE NA WARATIBU WA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-agvZJ59Wvng/Xn0BensfosI/AAAAAAALlOE/5htIPeaTAgg-jTxdCod8_VHGLfzo5MbVQCLcBGAsYHQ/s640/e18598fd-1179-4577-b7b6-28292bff4cef.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/ea4389af-340f-4d30-aef7-2aacf6fb469f.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Kukabiliana na ugonjwa wa Corona, ambayo yeye ni Mwenyekiti wake, katika kikao kilichofanyika ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Machi 25, 2020. (Picha na OIfisi ya Waziri Mkuu).
******************************
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza kamati za Maafa katika ngazi za mikoa na wilaya ziungane na waratibu wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona...
10 years ago
Habarileo25 Feb
Viongozi wa dini watakiwa kuanzisha kamati za amani
VIONGOZI wa dini zote nchini, wameshauriwa kuanzisha Kamati za Pamoja za Amani katika mikoa waliyomo, kujadili changamoto zinazojitokeza Tanzania, zikihusisha imani.
10 years ago
MichuziKAMATI ZA MAAFA ZA TAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO WA MENEJIMENTI YA MAAFA
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Kagera, Fikira Kisimba (katikati)
akifuatilia mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015, (mwenye miwani) ni
Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi
ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho.
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa katika Jeshi la Polisi
mkoani Kagera wakati wa mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s72-c/P6-2.jpg)
KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s640/P6-2.jpg)
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Marekani kutumia njia mbadala Iraq
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VZHM7gkm-2c/VNmwB2lH99I/AAAAAAABkmQ/asBxJ-YsiqQ/s72-c/bal.jpg)
MKUTANO WA KUKABILIANA NA MAAFA MBALIMBALI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-VZHM7gkm-2c/VNmwB2lH99I/AAAAAAABkmQ/asBxJ-YsiqQ/s640/bal.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CHsyVGqTw4s/VNmwVWsOVcI/AAAAAAABkmY/Unv-Q1yfgAI/s640/bal1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MGrDSqTBxu4/VNmwbYreisI/AAAAAAABkmg/Dzecgs2Sas4/s640/bal%2B2.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Wananchi watakiwa kutumia nishati mbadala
MTAFITI wa Taasisi ya Uchumi na Jamii (ESRF), Solomon Balegu ametaka Watanzania kutumia nishati mbadala ili kuepuka mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Balegu alisema kuwa ikiwa...