KAMATI ZA MAAFA MKOANI DODOMA WAFANYA TATHMINI YA MPANGO WA KUJIANDAA NA KUKABILIANA NA MAAFA
Mkuu wa Mkoa Dodoma, Luteni Mstaafu, Chiku Galawa akisisitiza jambo wakati akifungua Mkutano wa kuwasilisha Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Halmashauri za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa mjini Dodoma, tarehe 12 Septemba, 2015.
Mjumbe wa Kamati ya Maafa wilayani Mpwampwa, Shekh, Sabah Seif akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa kujadili Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Halmashauri za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s72-c/P6-2.jpg)
KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s640/P6-2.jpg)
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...
10 years ago
MichuziKAMATI ZA MAAFA ZA TAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO WA MENEJIMENTI YA MAAFA
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Kagera, Fikira Kisimba (katikati)
akifuatilia mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015, (mwenye miwani) ni
Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi
ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho.
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa katika Jeshi la Polisi
mkoani Kagera wakati wa mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-agvZJ59Wvng/Xn0BensfosI/AAAAAAALlOE/5htIPeaTAgg-jTxdCod8_VHGLfzo5MbVQCLcBGAsYHQ/s72-c/e18598fd-1179-4577-b7b6-28292bff4cef.jpg)
MAJALIWA: KAMATI ZA MAAFA ZIUNGANE NA WARATIBU WA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-agvZJ59Wvng/Xn0BensfosI/AAAAAAALlOE/5htIPeaTAgg-jTxdCod8_VHGLfzo5MbVQCLcBGAsYHQ/s640/e18598fd-1179-4577-b7b6-28292bff4cef.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/ea4389af-340f-4d30-aef7-2aacf6fb469f.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Kukabiliana na ugonjwa wa Corona, ambayo yeye ni Mwenyekiti wake, katika kikao kilichofanyika ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Machi 25, 2020. (Picha na OIfisi ya Waziri Mkuu).
******************************
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza kamati za Maafa katika ngazi za mikoa na wilaya ziungane na waratibu wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona...
9 years ago
StarTV14 Sep
Viongozi wa kamati watakiwa kuandaa njia mbadala ya kukabiliana na maafa
Wenyeviti wa kamati za maafa na majanga za wilaya wametakiwa kuwa na njia mbadala za kukabiliana na maafa na majanga kabla hayajatokea badala ya kusubiri mpaka yatokee ndipo wayafanyie kazi.
Aidha wametakiwa pia kutumia sheria na taratibu za vijiji ili kukabiliana na maafa na majanga yayoweza kuzuilika ikiwemo kuzuia shughuli zinazofanywa na binadamu na kuchangia uharibifu wa mazingira.
mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstafuu Chiku Galawa ameyasema hayo katika warsha ya kuwasilisha tathmini...
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Maafa Moro washindwa kukamilisha tathmini
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aUouuiz75bo/UvH_Z9GGGFI/AAAAAAAFK88/0RkS-2GqjGQ/s72-c/unnamed+(31).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU KUANZA KUFANYA ZOEZI LA KUJIANDAA NA MAAFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aUouuiz75bo/UvH_Z9GGGFI/AAAAAAAFK88/0RkS-2GqjGQ/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--F4vMGbTgw8/UvH_caGzmOI/AAAAAAAFK9E/AnHQA6ZjaS0/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xxzamvlpIMs/UvH_d46FkhI/AAAAAAAFK9M/8PFdLk1Xd34/s1600/unnamed+(33).jpg)
10 years ago
MichuziOFISI YA WAZIRI MKUU IDARA YA MAAFA --YATOA MAFUNZO YA MENEJIMENTI YA MAAFA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xVN2KVF9ZLE/VZBsqElCdXI/AAAAAAAHlV8/PFGK709-cUg/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
WARATIBU MAAFA SHINYANGA WAJIFUNZA KWA VITENDO TATHMINI YA HALI YA CHAKULA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xVN2KVF9ZLE/VZBsqElCdXI/AAAAAAAHlV8/PFGK709-cUg/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gXAjaLoBifQ/VZBsq_R5OQI/AAAAAAAHlWE/DW3yMYhxUkY/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7lkJXEPyspg/VZBsrISdfEI/AAAAAAAHlWI/F7O7FTwGokI/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VZHM7gkm-2c/VNmwB2lH99I/AAAAAAABkmQ/asBxJ-YsiqQ/s72-c/bal.jpg)
MKUTANO WA KUKABILIANA NA MAAFA MBALIMBALI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-VZHM7gkm-2c/VNmwB2lH99I/AAAAAAABkmQ/asBxJ-YsiqQ/s640/bal.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CHsyVGqTw4s/VNmwVWsOVcI/AAAAAAABkmY/Unv-Q1yfgAI/s640/bal1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MGrDSqTBxu4/VNmwbYreisI/AAAAAAABkmg/Dzecgs2Sas4/s640/bal%2B2.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10