MAJALIWA: KAMATI ZA MAAFA ZIUNGANE NA WARATIBU WA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-agvZJ59Wvng/Xn0BensfosI/AAAAAAALlOE/5htIPeaTAgg-jTxdCod8_VHGLfzo5MbVQCLcBGAsYHQ/s72-c/e18598fd-1179-4577-b7b6-28292bff4cef.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Kukabiliana na ugonjwa wa Corona, ambayo yeye ni Mwenyekiti wake, katika kikao kilichofanyika ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Machi 25, 2020. (Picha na OIfisi ya Waziri Mkuu).
******************************
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza kamati za Maafa katika ngazi za mikoa na wilaya ziungane na waratibu wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKAMATI ZA MAAFA MKOANI DODOMA WAFANYA TATHMINI YA MPANGO WA KUJIANDAA NA KUKABILIANA NA MAAFA
9 years ago
StarTV14 Sep
Viongozi wa kamati watakiwa kuandaa njia mbadala ya kukabiliana na maafa
Wenyeviti wa kamati za maafa na majanga za wilaya wametakiwa kuwa na njia mbadala za kukabiliana na maafa na majanga kabla hayajatokea badala ya kusubiri mpaka yatokee ndipo wayafanyie kazi.
Aidha wametakiwa pia kutumia sheria na taratibu za vijiji ili kukabiliana na maafa na majanga yayoweza kuzuilika ikiwemo kuzuia shughuli zinazofanywa na binadamu na kuchangia uharibifu wa mazingira.
mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstafuu Chiku Galawa ameyasema hayo katika warsha ya kuwasilisha tathmini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OpoGhKJhAsc/Xo6uBu9EY0I/AAAAAAALmlo/xDUyOLUnZFgFvY-0yJ_3T6eNSXhvdqOVQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
Kamati ya Makatibu wakuu ya kukabiliana na Corona yatembelea hosteli za Magufuli, Wahisiwa 72 waruhusiwa
Wasafiri 226 kutoka nchi mbalimbali za nje walipelekwa karantini katika hosteli hizo na kwamba wasafiri wasafiri 72 wameruhusiwa kurejea nyumbani na hivyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALIELEZA BUNGE HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA...AGUSIA UZUSHI MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s400/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa amelieleza Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hatua mbalimbali ambazo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt.John Magufuli ambazo inazichukua katika kukabiliana na virusi vya Corona ambavyo vinasababisha ugonjwa wa COVID-19.
Akizungumza mchana huu Bungeni Mjini Dodoma katika mkutano wa kumi na tisa, kikao cha pili cha bajeti ya mwaka 2019/2020 Waziri Mkuu Kasim Majaliwa ametaja hatua kadhaa ambazo zimechukuliwa hadi sasa kama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fKbKr2cWTn8/XrpqIGhCCdI/AAAAAAALp4w/W2_L_sLB5XkluXNuyYAH-A6gme5ezCXOwCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
KAMATI YA SERA YA FEDHA BOT YASHUSHA AHUENI KWA WATANZANIA KATIKA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fKbKr2cWTn8/XrpqIGhCCdI/AAAAAAALp4w/W2_L_sLB5XkluXNuyYAH-A6gme5ezCXOwCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wI0T4ivhh2s/XrpnLeQCd-I/AAAAAAALp4k/ixTeb2MgpvsQkegfO4g9vb0gzZl3Qi8oQCLcBGAsYHQ/s640/kk.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mB3qupXh7hw/XrpnLDsnJfI/AAAAAAALp4g/-CoQsMnPviMmjfvVbw3FcSl17cAb5akKwCLcBGAsYHQ/s640/Taarifa%2Bkwa%2BUmma%2B120520-2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xVN2KVF9ZLE/VZBsqElCdXI/AAAAAAAHlV8/PFGK709-cUg/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
WARATIBU MAAFA SHINYANGA WAJIFUNZA KWA VITENDO TATHMINI YA HALI YA CHAKULA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xVN2KVF9ZLE/VZBsqElCdXI/AAAAAAAHlV8/PFGK709-cUg/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gXAjaLoBifQ/VZBsq_R5OQI/AAAAAAAHlWE/DW3yMYhxUkY/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7lkJXEPyspg/VZBsrISdfEI/AAAAAAAHlWI/F7O7FTwGokI/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
10 years ago
MichuziKAMATI ZA MAAFA ZA TAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO WA MENEJIMENTI YA MAAFA
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Kagera, Fikira Kisimba (katikati)
akifuatilia mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015, (mwenye miwani) ni
Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi
ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho.
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa katika Jeshi la Polisi
mkoani Kagera wakati wa mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s72-c/P6-2.jpg)
KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s640/P6-2.jpg)
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VZHM7gkm-2c/VNmwB2lH99I/AAAAAAABkmQ/asBxJ-YsiqQ/s72-c/bal.jpg)
MKUTANO WA KUKABILIANA NA MAAFA MBALIMBALI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-VZHM7gkm-2c/VNmwB2lH99I/AAAAAAABkmQ/asBxJ-YsiqQ/s640/bal.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CHsyVGqTw4s/VNmwVWsOVcI/AAAAAAABkmY/Unv-Q1yfgAI/s640/bal1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MGrDSqTBxu4/VNmwbYreisI/AAAAAAABkmg/Dzecgs2Sas4/s640/bal%2B2.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10