Marekani kutumia njia mbadala Iraq
Marekani inafikiria kutumia njia mbadala za kuwaokoa maelfu ya Wayazidi nchini Iraq.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Wananchi watakiwa kutumia nishati mbadala
MTAFITI wa Taasisi ya Uchumi na Jamii (ESRF), Solomon Balegu ametaka Watanzania kutumia nishati mbadala ili kuepuka mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Balegu alisema kuwa ikiwa...
9 years ago
StarTV14 Sep
Viongozi wa kamati watakiwa kuandaa njia mbadala ya kukabiliana na maafa
Wenyeviti wa kamati za maafa na majanga za wilaya wametakiwa kuwa na njia mbadala za kukabiliana na maafa na majanga kabla hayajatokea badala ya kusubiri mpaka yatokee ndipo wayafanyie kazi.
Aidha wametakiwa pia kutumia sheria na taratibu za vijiji ili kukabiliana na maafa na majanga yayoweza kuzuilika ikiwemo kuzuia shughuli zinazofanywa na binadamu na kuchangia uharibifu wa mazingira.
mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstafuu Chiku Galawa ameyasema hayo katika warsha ya kuwasilisha tathmini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Auj30Or7ogI/Xpx3d4HsXEI/AAAAAAAAQsM/epwUmpr-apQcn9lqqj_d7QtcbV9MkUwYgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200419-174919_1587308148794.jpg)
SERIKALI YAOMBWA KUTAFUTA NJIA MBADALA KUVIFIKIA VIJIJI VISIVYOFIKIKA ILI KUVIPATIA ELIMU JUU YA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-Auj30Or7ogI/Xpx3d4HsXEI/AAAAAAAAQsM/epwUmpr-apQcn9lqqj_d7QtcbV9MkUwYgCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20200419-174919_1587308148794.jpg)
Serikali imeombwa kuhakikisha kwamba inatafutanjia mbadala ,kwaajili ya kuwafikia wananchi waliopo maeneo ambayo hayafikikikiurahisi, kwaajili ya kuwapatia elimu ya kuepukana maambukizi ya homa kali yamapafu, inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19
Hayo yamesemwa na Mchungaji David Chikawe Katibu wa Kanisa la Mission to Unreaches Area nchini (MUAC),lililopo Kibaha mkoa...
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Marekani yalipongeza jeshi la Iraq.
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Marekani yashinikiza amani Iraq
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Marekani yashambulia wapiganaji wa Iraq
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
Iraq:Marekani yawashambulia wanamgambo
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Marekani yaendeleza mashambulizi Iraq
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Marekani kendelea kuishambulia Iraq