Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kutumia njia mbadala Iraq

Marekani inafikiria kutumia njia mbadala za kuwaokoa maelfu ya Wayazidi nchini Iraq.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi watakiwa kutumia nishati mbadala

MTAFITI wa Taasisi ya Uchumi na Jamii (ESRF), Solomon Balegu ametaka Watanzania kutumia nishati mbadala ili kuepuka mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Balegu alisema kuwa ikiwa...

 

9 years ago

StarTV

Viongozi wa kamati watakiwa kuandaa njia mbadala ya kukabiliana na maafa

Wenyeviti wa kamati za maafa na majanga za wilaya wametakiwa  kuwa na njia mbadala za kukabiliana na maafa na majanga kabla hayajatokea badala ya kusubiri mpaka yatokee ndipo wayafanyie kazi.

Aidha wametakiwa pia kutumia sheria na taratibu za vijiji ili kukabiliana na maafa na majanga yayoweza kuzuilika ikiwemo kuzuia shughuli zinazofanywa na binadamu na kuchangia uharibifu wa mazingira.

 mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstafuu Chiku Galawa ameyasema hayo  katika warsha ya kuwasilisha tathmini...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAOMBWA KUTAFUTA NJIA MBADALA KUVIFIKIA VIJIJI VISIVYOFIKIKA ILI KUVIPATIA ELIMU JUU YA COVID-19




Mchungaji David Chikawe Katibu wa Kanisa la Mission to Unreaches Area nchini (MUAC)   Na.Vero Ignatus,Kibaha Pwani
Serikali imeombwa kuhakikisha kwamba inatafutanjia mbadala ,kwaajili ya kuwafikia wananchi waliopo maeneo ambayo hayafikikikiurahisi, kwaajili ya kuwapatia elimu ya kuepukana maambukizi ya homa kali yamapafu, inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19

Hayo yamesemwa na Mchungaji David Chikawe Katibu wa Kanisa la Mission to Unreaches Area nchini (MUAC),lililopo Kibaha mkoa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yalipongeza jeshi la Iraq.

Marekani imelipongeza jeshi la Iraq kwa kuweza kuurejesha mji wa Ramadi uliokuwa ukishikiliwa na wapiganaji wa Islamic State.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashinikiza amani Iraq

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry amewasili Iraq na kulitahadharisha raifa hilo dhidi ya vita

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia wapiganaji wa Iraq

Ndege za kijeshi kutoka Marekani zimetekeleza mashambulizi tisa ya angani dhidi ya wanamgambo wa Islamic State kazkazini mwa Iraq

 

11 years ago

BBCSwahili

Iraq:Marekani yawashambulia wanamgambo

Wizara ya ulinzi nchini Marekani imesema kuwa inaendelea kuwashambulia wanamgambo wa taifa la kiislamu kazkazini mwa Iraq.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaendeleza mashambulizi Iraq

Marekani imesema kuwa imetekeleza mashambulizi zaidi kazkazini mwa Iraq dhidi ya maeneo yanayodhibitiwa na wapiganaji wa Jihad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kendelea kuishambulia Iraq

Marekani imeendeleza mashambulizi ya anga kaskazini mwa Iraq kwa lengo la kuwasaidia Wakrud katika mji wa Erbil dhidi ya wapiganaji wa kiislam wa kundi Jihad.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani