Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yashambulia wapiganaji wa Iraq

Ndege za kijeshi kutoka Marekani zimetekeleza mashambulizi tisa ya angani dhidi ya wanamgambo wa Islamic State kazkazini mwa Iraq

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq

Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yenye wanamgambo wa Islamic State, huko Tikrit

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawashambulia wapiganaji Iraq

Marekani imesema kuwa mashambulizi ya ndege zake zisizo na rubani yameharibu magari mawili ya wapiganaji nchini Iraq.

 

10 years ago

StarTV

Misri yashambulia wapiganaji wa ISIS Libya

Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.

Jeshi la Misri linasema kuwa limelenga kambi za Islamic State, kituo cha mafunzo na maghala ya silaha, katika shambulizi hilo la mapema leo alfajiri.

Walioshuhudia wanasema kuwa, mji wa Derna ulioko mashariki mwa Libya na ambao umetekwa na wapiganaji wa jihadi ndio...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa IS wazungukwa Iraq

Wanajeshi wa Iraq pamoja na wanamgambo wa Ki-Shia wanaendelea kuwazingira wapiganaji wa Islamic State,huko Tikrit

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa IS wavunja sanamu Iraq

Wapiganaji wa Islamic State wametoa kanda ya video inayowaonyesha wakivunja sanamu ndani ya makavazi katika mji wa Mosul iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq

Marekani imethibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic State wameuteka mji wa Ali Baghdadi ulio mashariki mwa Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Vikosi vya Iraq vyawakabili wapiganaji

Wanajeshi wa serikali ya Iraq wanasema kuwa wamelikabili shambulizi moja la wanamgambo katika kiwanda kikuu cha mafuta.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iraq yawazuia wapiganaji kusonga mbele

Jeshi la Iraq pamoja na wanamgambo wamekomboa sehemu ya ardhi kutoka wapiganaji Waislamu na kuwazuwia kusonga mbele

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji washia waelekea Ramadi, Iraq

Inasemekana kuwa wapiganaji wa kishia wanadaiwa kuelekea Ramadi, mji mkuu wa mkoa wa Al-Anbar, Magharibi mwa Baghdad

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani