Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq
Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yenye wanamgambo wa Islamic State, huko Tikrit
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Marekani yashambulia wapiganaji wa Iraq
Ndege za kijeshi kutoka Marekani zimetekeleza mashambulizi tisa ya angani dhidi ya wanamgambo wa Islamic State kazkazini mwa Iraq
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit
Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Iraq yataka kuikomboa Tikrit
Majeshi ya serikari ya Iraq yameingia siku ya nne mfululizo ya harakati za kutaka kuukomboa mji wa Tikrit
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit
Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
Jeshi la Iraq lajongelea mji wa Tikrit
Serikali ya Iraq yasema jeshi lake lafanya operesheni kubwa kuukomboa mji wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Marekani kushambulia IS mjini Tikrit
Rais wa Iraq Fouad Massoum ametoa ishara kwamba jeshi linaloongozwa na Marekani huenda likawashambulia wapiganaji wa IS Tikrit.
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Marekani yashambulia Wanamgambo wa IS
Ndege za Marekani zimeshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic state kaskazini mwa Iraq
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Majeshi ya Marekani yashambulia Khorasan
Jeshi la Marekani limefanya mashambulio ya anga dhidi ya wapiganaji wa makundi ya kigaidi katika eneo linaloitwa Khorasan .
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Marekani yashambulia Taliban kwa makombora saa kadhaa baada ya mkataba
Hii inakuja siku moja baada ya rais Trump kuzungumza na kundi hilo kuhusu juhudi za kuimarisha mchakato wa amani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania