Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit
Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Iraq yataka kuikomboa Tikrit
Majeshi ya serikari ya Iraq yameingia siku ya nne mfululizo ya harakati za kutaka kuukomboa mji wa Tikrit
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit
Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Tunakaribia kuikomboa Ramadi:Iraq
Iraq imesema inakaribia kuukomboa mji wa Ramadi dhidi ya wapiganaji wa IS waliokuwa wakishikilia mji huo tangu mwezi mei mwaka huu
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq
Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yenye wanamgambo wa Islamic State, huko Tikrit
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
Jeshi la Iraq lajongelea mji wa Tikrit
Serikali ya Iraq yasema jeshi lake lafanya operesheni kubwa kuukomboa mji wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Marekani kutuma majeshi Iraq
Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Uturuki yaanza kuondoa majeshi Iraq
Uturuki imeanza kuondoa baadhi ya wanajeshi wake waliokuwa wameingia Iraq, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali.
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Majeshi ya Marekani kwenda Iraq tena?
Rais Barack Obama kuisaidia Iraq kukabiliana na wanamgambo wa kiislam wanaodhibiti eneo kubwa la kaskazini mwa Iraq .
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Iraq yaitaka Uturuki iondoe majeshi Mosul
Serikali ya Iraq imeiamuru Uturuki iondoe wanajeshi wake katika eneo la mpakani karibu na mji wa Mosul ambalo linadhibitiwa na wapiganaji wa Islamic State.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania