Marekani kutuma majeshi Iraq
Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?
Wakati maandamano yakishika kasi nchini Marekani, Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ametishia kutuma majeshi yake ili kutuliza ghasia.
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Majeshi ya Marekani kwenda Iraq tena?
Rais Barack Obama kuisaidia Iraq kukabiliana na wanamgambo wa kiislam wanaodhibiti eneo kubwa la kaskazini mwa Iraq .
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit
Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit
Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Uturuki yaanza kuondoa majeshi Iraq
Uturuki imeanza kuondoa baadhi ya wanajeshi wake waliokuwa wameingia Iraq, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali.
10 years ago
BBCSwahili19 Aug
Rais Obama asifu majeshi ya Iraq na kurd
Rais wa Marekani Barack Obama ameahidi kuendelea kuyaunga mkono majeshi ya Iraq na kikurd
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Iraq yaitaka Uturuki iondoe majeshi Mosul
Serikali ya Iraq imeiamuru Uturuki iondoe wanajeshi wake katika eneo la mpakani karibu na mji wa Mosul ambalo linadhibitiwa na wapiganaji wa Islamic State.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Marekani kutuma jeshi kushambulia IS
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter amesema jeshi maalum la Marekani litatumwa kwenda nchini Iraq kupambana na wapiganaji wa Islamic State katika nchi za Iraq na Syria.
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Marekani kutuma vikosi maalum Syria
Waziri wa ulinzi nchini marekani anasema kuwa kikosi maalum cha jeshi la marekani kitatumwa kuendesha oparesheni nchini Syria
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania