Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kutuma majeshi Iraq

Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?

Wakati maandamano yakishika kasi nchini Marekani, Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ametishia kutuma majeshi yake ili kutuliza ghasia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Marekani kwenda Iraq tena?

Rais Barack Obama kuisaidia Iraq kukabiliana na wanamgambo wa kiislam wanaodhibiti eneo kubwa la kaskazini mwa Iraq .

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit

Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit

Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yaanza kuondoa majeshi Iraq

Uturuki imeanza kuondoa baadhi ya wanajeshi wake waliokuwa wameingia Iraq, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama asifu majeshi ya Iraq na kurd

Rais wa Marekani Barack Obama ameahidi kuendelea kuyaunga mkono majeshi ya Iraq na kikurd

 

9 years ago

BBCSwahili

Iraq yaitaka Uturuki iondoe majeshi Mosul

Serikali ya Iraq imeiamuru Uturuki iondoe wanajeshi wake katika eneo la mpakani karibu na mji wa Mosul ambalo linadhibitiwa na wapiganaji wa Islamic State.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma jeshi kushambulia IS

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter amesema jeshi maalum la Marekani litatumwa kwenda nchini Iraq kupambana na wapiganaji wa Islamic State katika nchi za Iraq na Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma vikosi maalum Syria

Waziri wa ulinzi nchini marekani anasema kuwa kikosi maalum cha jeshi la marekani kitatumwa kuendesha oparesheni nchini Syria

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani