Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Obama asifu majeshi ya Iraq na kurd

Rais wa Marekani Barack Obama ameahidi kuendelea kuyaunga mkono majeshi ya Iraq na kikurd

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RAIS OBAMA ASIFU UVAAJI WA FULANA YA I CAN'T BREATHE ALIYOVAA MCHEZAJI WA KIKAKPU LEBRON JAMES

LeBron ObamaRais wa Marekani Mhe. Barack Obama amesifia uvaaji wa fulana wa mchezaji wa mpira wa kikapu Lebron James wakati alipokua akifanyiwa mahojiano na gazeti la the people magazine. Rais Barack Obama alipouliwa swali hilo nini mtizamo wake alisema nadhani ni jambo zuri kwa mchezaji huyo na wengine waliopaza sauti zao kuwakilisha mawazo yao kwa mambo yaliyotokea ya kuuwawa kwa Wamarekani weusi na polisi huko Ferguson jimbo la Missouri na Brooklyn New York na baadae mahakama kuwaachia huru polisi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Barack Obama aizungumzia Iraq

Rais Obama amesema awamu ya kwanza ilikuwa ni kwa ajili ya kuandaa serikali ya pamoja na yenye kuaminika nchini Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit

Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma majeshi Iraq

Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yaanza kuondoa majeshi Iraq

Uturuki imeanza kuondoa baadhi ya wanajeshi wake waliokuwa wameingia Iraq, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit

Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Marekani kwenda Iraq tena?

Rais Barack Obama kuisaidia Iraq kukabiliana na wanamgambo wa kiislam wanaodhibiti eneo kubwa la kaskazini mwa Iraq .

 

9 years ago

BBCSwahili

Iraq yaitaka Uturuki iondoe majeshi Mosul

Serikali ya Iraq imeiamuru Uturuki iondoe wanajeshi wake katika eneo la mpakani karibu na mji wa Mosul ambalo linadhibitiwa na wapiganaji wa Islamic State.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama Kuondoa majeshi yake Afghanistan

Obama ameagiza Pentagon kuandaa mipango ya kuwaondoa wanajeshi wake wote kutoka Afghanistan ifikapo mwisho wa mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani