Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit

Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit

Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Syria yakomboa vijiji Idlib

Wanajeshi wa serikali ya Syria, wakisaidiwa na Hezbollah, wamesonga mbele sana dhidi ya waasi, baada ya mashambulio makali ya ndege za Urusi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iraq;Serikali yakomboa miji kadhaa

Ripoti kutoka Iraq zasema vikosi vya serikali pamoja na wanamgambo wa kishia wameyateka baadhi ya maeneo yaliodhibitiwa na waasi

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq yataka kuikomboa Tikrit

Majeshi ya serikari ya Iraq yameingia siku ya nne mfululizo ya harakati za kutaka kuukomboa mji wa Tikrit

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq

Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yenye wanamgambo wa Islamic State, huko Tikrit

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Iraq lajongelea mji wa Tikrit

Serikali ya Iraq yasema jeshi lake lafanya operesheni kubwa kuukomboa mji wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma majeshi Iraq

Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Marekani kwenda Iraq tena?

Rais Barack Obama kuisaidia Iraq kukabiliana na wanamgambo wa kiislam wanaodhibiti eneo kubwa la kaskazini mwa Iraq .

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yaanza kuondoa majeshi Iraq

Uturuki imeanza kuondoa baadhi ya wanajeshi wake waliokuwa wameingia Iraq, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani