Majeshi ya Syria yakomboa vijiji Idlib
Wanajeshi wa serikali ya Syria, wakisaidiwa na Hezbollah, wamesonga mbele sana dhidi ya waasi, baada ya mashambulio makali ya ndege za Urusi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit
Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Vita vya Syria: Mashambulio dhidi ya Idlib yalenga shule na hospitali'
Makundi ya kutetea haki za binadamu yanasema kuwa takriban raia 20 Idlib, miongoni mwao watoto tisa
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Vita vya Syria. Wanajeshi wa Uturuki 33 wauawa katika mashambulio Idlib
Uturuki imeanza kulipiza kisasi kwa kuyalenga, kuyashambulia maeneo ya serikali ya Syria, vinasema vyombo vya habari vya Syria.
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Vita vya Syria : Harakati za kijeshi za Uturuki mjini Idlib 'zinasubiri muda tu'
Kiongozi wa Uturuki ameionya Syria juu ya mashambulizi makubwa dhidi ya waasi katika jimbo la kaskazini.
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Majeshi ya muungano yashambulia IS Syria
Ushirikiano unaoongozwa na Marekani, unasema kuwa umefanya mashambulio makubwa ya ndege dhidi ya shina la wapiganaji wa Islamic State, katika mji wa Raqqa, wa Syria.
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Majeshi ya upinzani yateka eneo Syria
Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema kwamba wanajeshi wa upinzani waliounda kundi lao hivi karibuni nchini Syria,wamefanikiwa kutwaa eneo lenye ukubwa
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Putin aagiza majeshi yakabili tishio Syria
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameagiza wanajeshi wa Urusi kuchukua “hatua kali†dhidi ya hatari zozote zinazojitokeza Syria.
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Kundi la Islamic state lateka vijiji Syria
Kundi la Islamic State nchini Syria limeteka vijiji kadhaa kutoka katika makundi hasimu ya wapiganaji kaskazini mwa mji wa Aleppo.
11 years ago
BBCSwahili15 Jun
Iraq;Serikali yakomboa miji kadhaa
Ripoti kutoka Iraq zasema vikosi vya serikali pamoja na wanamgambo wa kishia wameyateka baadhi ya maeneo yaliodhibitiwa na waasi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania