Vita vya Syria. Wanajeshi wa Uturuki 33 wauawa katika mashambulio Idlib
Uturuki imeanza kulipiza kisasi kwa kuyalenga, kuyashambulia maeneo ya serikali ya Syria, vinasema vyombo vya habari vya Syria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Vita vya Syria: Mashambulio dhidi ya Idlib yalenga shule na hospitali'
Makundi ya kutetea haki za binadamu yanasema kuwa takriban raia 20 Idlib, miongoni mwao watoto tisa
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Vita vya Syria : Harakati za kijeshi za Uturuki mjini Idlib 'zinasubiri muda tu'
Kiongozi wa Uturuki ameionya Syria juu ya mashambulizi makubwa dhidi ya waasi katika jimbo la kaskazini.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
10 years ago
BBCSwahili02 Aug
Wanajeshi 2 wa Uturuki wauawa
Wanajeshi wawili wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu katika kituo kimoja cha kijeshi mashariki mwa nchi.
10 years ago
BBCSwahili19 Aug
Wanajeshi 8 wa Uturuki wauawa
Wanajeshi wanane wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu la kutegwa kando ya barabara kusini mashariki mwa nchi.
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
Majeshi ya Syria yakomboa vijiji Idlib
Wanajeshi wa serikali ya Syria, wakisaidiwa na Hezbollah, wamesonga mbele sana dhidi ya waasi, baada ya mashambulio makali ya ndege za Urusi.
5 years ago
CCM Blog22 Feb
UTURUKI YAKATAA PENDEKEZO LA RUSSIA KUHUSU IDLIB

11 years ago
BBCSwahili30 May
Vita vya Syria vimeuwa maelfu Allepo
Wanaharakati wa Syria wasema mabomu yaliyorushwa na majeshi ya serikali dhidi ya waasi ya Allepo yamewaua zaidi ya watu 2000.
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Putin atetea mashambulio ya Urusi Syria
Vladimir Putin amesema lengo la mashambulio ya ndege za Urusi nchini Syria ni kusaidia utawala halali wa Rais Assad.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania