Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita vya Syria. Wanajeshi wa Uturuki 33 wauawa katika mashambulio Idlib

Uturuki imeanza kulipiza kisasi kwa kuyalenga, kuyashambulia maeneo ya serikali ya Syria, vinasema vyombo vya habari vya Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Mashambulio dhidi ya Idlib yalenga shule na hospitali'

Makundi ya kutetea haki za binadamu yanasema kuwa takriban raia 20 Idlib, miongoni mwao watoto tisa

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria : Harakati za kijeshi za Uturuki mjini Idlib 'zinasubiri muda tu'

Kiongozi wa Uturuki ameionya Syria juu ya mashambulizi makubwa dhidi ya waasi katika jimbo la kaskazini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 2 wa Uturuki wauawa

Wanajeshi wawili wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu katika kituo kimoja cha kijeshi mashariki mwa nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 8 wa Uturuki wauawa

Wanajeshi wanane wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu la kutegwa kando ya barabara kusini mashariki mwa nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Syria yakomboa vijiji Idlib

Wanajeshi wa serikali ya Syria, wakisaidiwa na Hezbollah, wamesonga mbele sana dhidi ya waasi, baada ya mashambulio makali ya ndege za Urusi.

 

5 years ago

CCM Blog

UTURUKI YAKATAA PENDEKEZO LA RUSSIA KUHUSU IDLIB

Uturuki yakataa pendekezo la Russia kuhusu IdlibMsemaji wa Ikulu ya Rais wa Uturuki amesema kuwa hadi sasa nchi hiyo haijafikia natija ya kuridhisha kuhusiana na pendekezo la Russia la kusitisha mapigano katika mkoa wa Idlib nchini Syria.Akizungumzia suala hilo mbele ya waandishi habari siku ya Jumatano, İbrahim Kalın amesema kuwa duru kadhaa za mazunguzmo kati ya jumbe za Uturuki na Russia ambayo yamefanyika katika miji mikuu ya nchi hizo yaani Ankara na Moscow, kuhusu udharura wa usitishwaji vita katika mkoa wa Idlib hazijakuwa na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria vimeuwa maelfu Allepo

Wanaharakati wa Syria wasema mabomu yaliyorushwa na majeshi ya serikali dhidi ya waasi ya Allepo yamewaua zaidi ya watu 2000.

 

10 years ago

BBCSwahili

Putin atetea mashambulio ya Urusi Syria

Vladimir Putin amesema lengo la mashambulio ya ndege za Urusi nchini Syria ni kusaidia utawala halali wa Rais Assad.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani