Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi 2 wa Uturuki wauawa

Wanajeshi wawili wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu katika kituo kimoja cha kijeshi mashariki mwa nchi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 8 wa Uturuki wauawa

Wanajeshi wanane wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu la kutegwa kando ya barabara kusini mashariki mwa nchi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria. Wanajeshi wa Uturuki 33 wauawa katika mashambulio Idlib

Uturuki imeanza kulipiza kisasi kwa kuyalenga, kuyashambulia maeneo ya serikali ya Syria, vinasema vyombo vya habari vya Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Afghanistan

Polisi nchini Afghnaistan wamesema wanajeshi sita wameuawa katika shambulio la bomu mjini Kabul.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia

Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 11 wauawa Afghanistan

Wapiganaji wa Taliban nchini Afghanistan wamedaiwa kuwaua wanajeshi 11 katika jimbo la Herat magharibi mwa taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Marekani

Mtu mwenye silaha amewaua askari 4 wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo ya jeshi hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 7 wauawa Tunisia

Mwanajeshi mmoja nchini Tunisia amempigwa risasi na kuuawa baada ya kuwaua wenzake 7 .

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapalestina 2 wauawa,wanajeshi 4 wajeruhiwa

Wapalestina 2 wameuawa baada ya mashambulizi ya magari ambapo wanajeshi 4 Waisraeli walijeruhiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 2 wa Ufaransa wauawa CAR

Wanajeshi wawili wa Ufaransa wameuawa katika mapigano na waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani