Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iraq;Serikali yakomboa miji kadhaa

Ripoti kutoka Iraq zasema vikosi vya serikali pamoja na wanamgambo wa kishia wameyateka baadhi ya maeneo yaliodhibitiwa na waasi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit

Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yadhibiti miji miwili Ukraine

Vikosi vya serikali Kiev vimeyadhibiti Artyomivsk na Druzhkivka kutoka kwa waasi wanaoiunga Urusi mkono mashariki mwa Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iraq yashauriwa iunde serikali

Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa aishauri Iraq ifanye haraka kuunda serikali ya pamoja

 

11 years ago

BBCSwahili

Malik:Serikali ya umoja haifai Iraq

Waziri mkuu nchin Iraq Nouri al Malik ameonya kwamba serikali ya umoja nchini humo ni mapinduzi dhidi ya katiba ya taifa hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

HRW:Serikali ya Iraq iliwauwa wafungwa

Shirika la haki za binaadamu,Human Rights Watch lasema kuwa vikosi vya serikali ya Iraq vinadaiwa kuwauawa zaidi ya wafungwa 250

 

11 years ago

BBCSwahili

Iraq:Serikali mpya kushirikisha wasunni

Msemaji wa chama cha waziri mkuu nchini Iraq ameimbia BBC kwamba Nouri al Malik atabuni serikali itakayoshirikisha kila mtu

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la Iraq laidhinisha serikali mpya

Bunge la Iraq limeidhinisha serikali mpya itakayoshirikisha makundi muhimu nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Syria yakomboa vijiji Idlib

Wanajeshi wa serikali ya Syria, wakisaidiwa na Hezbollah, wamesonga mbele sana dhidi ya waasi, baada ya mashambulio makali ya ndege za Urusi.

 

9 years ago

Habarileo

CCM yakomboa majimbo 13, yazoa 188

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeyarejesha mikononi majimbo ya uchaguzi 13 yaliyokuwa kwenye mikono ya vyama vya upinzani, huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikichukua majimbo 16 yaliyokuwa mikononi mwa chama tawala miaka mitano iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani