Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Putin aagiza majeshi yakabili tishio Syria

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameagiza wanajeshi wa Urusi kuchukua “hatua kali” dhidi ya hatari zozote zinazojitokeza Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Putin ataka Ukraine kuonda majeshi

Rais wa Urusi, Vladmir Putin, ametoa wito kwa Ukraine iyaondoe majeshi yake Kusini Mashariki mwa taifa hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Putin aamauru majeshi kuondoka mpakani

Rais wa Urusi Vladimir Putin amewaamuru askari jeshi walioko karibu na mpaka wa Ukraine kuondoka katika maeneo ya Rostov, Belgorod na Bryansk

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin aagiza madai ya dawa yachunguzwe

Putin ameagiza uchunguzi ufanywe kuhusiana na madai kwamba wanariadha nchini Urusi wamekuwa wakitumia dawa za kusisimua misuli.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kerry na Putin kujadiliana kuhusu Syria

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry yumo nchini Moscow kwa mashauriano na Rais Vladimir Putin kuhusu njia za kumaliza vita Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin atetea mashambulio ya Urusi Syria

Vladimir Putin amesema lengo la mashambulio ya ndege za Urusi nchini Syria ni kusaidia utawala halali wa Rais Assad.

 

11 years ago

Mwananchi

Putin azungumza na Rouhani kuhusu Syria

Rais Vladmir Putin wa Urusi amefanya mazungumzo na Rais wa Iran, Hassan Rouhani kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mkutano wa kimataifa wa amani wa Geneva 2.

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin azuru Iran kujadili hatma ya Syria

Rais Putin anazuru Tehran kwa mazungumzo na kiongozi wa Iran kuhusiana na mapigano yanayoendelea nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya muungano yashambulia IS Syria

Ushirikiano unaoongozwa na Marekani, unasema kuwa umefanya mashambulio makubwa ya ndege dhidi ya shina la wapiganaji wa Islamic State, katika mji wa Raqqa, wa Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya upinzani yateka eneo Syria

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema kwamba wanajeshi wa upinzani waliounda kundi lao hivi karibuni nchini Syria,wamefanikiwa kutwaa eneo lenye ukubwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani