Kerry na Putin kujadiliana kuhusu Syria
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry yumo nchini Moscow kwa mashauriano na Rais Vladimir Putin kuhusu njia za kumaliza vita Syria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Putin azungumza na Rouhani kuhusu Syria
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Putin atetea mashambulio ya Urusi Syria
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Putin aagiza majeshi yakabili tishio Syria
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Putin azuru Iran kujadili hatma ya Syria
9 years ago
TheCitizen16 Oct
Putin: Russian forces show impressive results in Syria, hundreds of terrorists killed
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--xAirmRwi8c/Vkt-mMrwArI/AAAAAAAIGek/ilyEFNW4EpU/s72-c/unnamed.jpg)
Kuweka Umeme Afrika: Mkutano kufanyika Tanzania kujadiliana kuhusu mageuzi katika sekta ya kawi Nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/--xAirmRwi8c/Vkt-mMrwArI/AAAAAAAIGek/ilyEFNW4EpU/s640/unnamed.jpg)
Mkutano wa kila mwaka wa Kuwezeka umeme Afrika: Kongamano la Uwekezaji la Tanzania litafanyika Hyatt Regency Dar es Saalam, Hoteli ya Kilimanjaro kuanzia 3-4 Desemba 2015
Mkutano ule utalenga siku za usoni za sekta ya kawi ya Tanzania kufuatia uchaguzi wa hivi majuzi, kutambua nafasi za uwekezaji na kubuni maushurikiano muhimu kati ya wahusika kutoka sekta ya kibinafsi na ya umma. Dhibitisho za hivi karibuni za January Makamba, Mbunge wa Bumbuli, Tanzania, waakilishi kutoka...
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
John Kerry aionya Iran kuhusu Yemen
10 years ago
StarTV09 Apr
John Kerry aionya Iran kuhusu mgogoro Yemen
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry ameionya Iran dhidi ya hatua yake ya kuwaunga mkono wapiganaji wa Houthi wanaopambana na serikali ya Yemen.
Katika mahojiano ya Televisheni, John Kerry amesema Marekani itaiunga mkono nchi yoyote mashariki ya Kati itakayotishiwa na Iran.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/02/150402180008_iran_640x360_ap_nocredit.jpg)
Jana Iran ilituma meli mbili za kivita katika bandari ya Aden kuwaunga mkono waasi, ambao wanapambana kuudhibiti mji huo.
Marekani inaunga mkono muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudia...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gaifjrfkcmw/VjzhPK5ZMII/AAAAAAAIEvQ/t-a5zcYOkuw/s72-c/us.jpg)
Tamko la Waziri wa Mambo ya Nje John Kerry kuhusu Uchaguzi wa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gaifjrfkcmw/VjzhPK5ZMII/AAAAAAAIEvQ/t-a5zcYOkuw/s640/us.jpg)
Kwa niaba ya Rais Obama na watu wa Marekani, nawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uchaguzi wa rais na wabunge ulioendelea kuthibitisha rekodi nzuri ya Tanzania katika kujenga demokrasia imara.Wakati Rais John Pombe Joseph Magufuli na serikali yake wakichukua majukumu yao, tunatarajia kuendelea na ubia wetu wa karibu na kuimarisha zaidi ushirikiano baina ya nchi zetu mbili tunapofanya...