Putin azungumza na Rouhani kuhusu Syria
Rais Vladmir Putin wa Urusi amefanya mazungumzo na Rais wa Iran, Hassan Rouhani kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mkutano wa kimataifa wa amani wa Geneva 2.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Kerry na Putin kujadiliana kuhusu Syria
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry yumo nchini Moscow kwa mashauriano na Rais Vladimir Putin kuhusu njia za kumaliza vita Syria.
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Putin atetea mashambulio ya Urusi Syria
Vladimir Putin amesema lengo la mashambulio ya ndege za Urusi nchini Syria ni kusaidia utawala halali wa Rais Assad.
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Putin aagiza majeshi yakabili tishio Syria
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameagiza wanajeshi wa Urusi kuchukua “hatua kali†dhidi ya hatari zozote zinazojitokeza Syria.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Putin azuru Iran kujadili hatma ya Syria
Rais Putin anazuru Tehran kwa mazungumzo na kiongozi wa Iran kuhusiana na mapigano yanayoendelea nchini Syria.
9 years ago
TheCitizen16 Oct
Putin: Russian forces show impressive results in Syria, hundreds of terrorists killed
The Russian military forces have achieved impressive results in Syria, Russian President Vladimir Putin told a meeting of the Council of CIS Heads of State on Friday.
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
Obama awasiliana na Putin kuhusu Ukraine
Rais Obama ametoa mapendekezo ya ya kusuluhisha mgogoro wa Ukraine kwa njia ya kidiplomasia ikiwemo Urusi kuwaondoa wanajeshi wake.
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Rais Putin apuuza uvumi kuhusu afya yake
Rais Vladmir wa Urusi amepuzilia mbali uvumi kuhusu afya yake kuwa ni mzima.
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Vladimir Putin: Kura itakayomuwezesha Putin kuwa madarakani miaka 36
Kwa miaka 20 Vladimir Putin amekuwa Rais au Waziri mkuu wa Urusi, lakini je ataendelea kuwa madarakani au la?
10 years ago
BBCSwahili11 May
Nkurunziza azungumza kuhusu uchaguzi
Marekani na jumuiya ya Ulaya wote wameitisha kuahirishwa kw a uchaguzi wa Burundi kufuatia wiki kadhaa za ghasia zinazopinga ugombeaji wa Pierre Nkurunziza
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania