Rais Putin apuuza uvumi kuhusu afya yake
Rais Vladmir wa Urusi amepuzilia mbali uvumi kuhusu afya yake kuwa ni mzima.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Aug
Bilal apuuza uvumi wa kuihama CCM
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amekanusha taarifa za uzushi ziliposambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa anakihama Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dJLD2vgF4J0/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1fLi9aQ62Lc/XpwmXLuw_iI/AAAAAAALnaA/hf_P5nq6quEGj6wSgDHiHq8-hEZlo13JACLcBGAsYHQ/s72-c/Ndugulile.jpeg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT NDUGULILE ATOA UFAFANUZI KUHUSU BARAKOA NA MATUMIZI YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1fLi9aQ62Lc/XpwmXLuw_iI/AAAAAAALnaA/hf_P5nq6quEGj6wSgDHiHq8-hEZlo13JACLcBGAsYHQ/s640/Ndugulile.jpeg)
NA DK FAUSTINE NDUGULILE
Kuna clip inazunguka mitandaoni nikiongelea kuhusu barakoa za kitambaa. Napenda kutoa ufafanuzi ufuatavyo:
1. Barakoa za N95 zinapaswa kutumika na watoa huduma wa afya wanaohudumia wagonjwa wa Covid-19. Barakoa hizi hazipaswi kuvaliwa mitaani, majumbani wala maofisini.
2. Barakoa za upasuaji (surgical masks) hizi zinapaswa kuvaliwa na watumishi wa afya ambao hawana direct contact na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-3opn9mcK4wU/VGItjw7J2GI/AAAAAAAGwmU/d2GzG9wE90w/s72-c/D92A2940.jpg)
Taarifa mpya kuhusu maendeleo ya afya ya Rais Kikwete
![](http://2.bp.blogspot.com/-3opn9mcK4wU/VGItjw7J2GI/AAAAAAAGwmU/d2GzG9wE90w/s640/D92A2940.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana, Jumatatu, Novemba 10, 2014, alianza kuwasiliana na mamia kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/OKoHDsxB4rg/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N7*qQ6E0U5Lg68yi7GxeoWZAVWuA7blvsjX*gzVuJlVn4hB7NEFotMPCMxEYwJ5C0w6fSWQNZFYIFK2Lejk8p6F8uxK1Q9WN/D92A4106.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATOLEWA NYUZI KATIKA MSHONO, AFYA YAKE YAZIDI KUIMARIKA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AyqZ-Fdk1Yw/VHAWrMln8bI/AAAAAAAGyzo/srQbCUWcFdE/s72-c/D92A4106.jpg)
Rais Kikwete atolewa nyuzi katika mshono,Afya yake yazidi kuimarika
![](http://2.bp.blogspot.com/-AyqZ-Fdk1Yw/VHAWrMln8bI/AAAAAAAGyzo/srQbCUWcFdE/s1600/D92A4106.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xuv-aLuA6dc/VHAWwuaA0gI/AAAAAAAGyzw/baHv5jX6x0U/s1600/0L7C0136.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7gM0e-yDnw4/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Serikali yakanusha uvumi uliokuwa umeenea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mavazi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa ofisini kwake.
Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo inapenda kuujulisha Umma kwamba kumekuwapo na upotoshwaji unaondelea katika mitandao ya kijamii hususan facebook, Instagram na WhatsApp ambapo sehemu ya upotoshaji huo imenukuliwa kama ifuatavyo “Wizara imetoa tamko kuwa kuanzia januari 2016 mavazi yote yasiyo stahiki ambayo hayaendani na mila na desturi zetu Wizara yangu na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...