Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilal apuuza uvumi wa kuihama CCM

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amekanusha taarifa za uzushi ziliposambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa anakihama Chama Cha Mapinduzi (CCM).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Rais Putin apuuza uvumi kuhusu afya yake

Rais Vladmir wa Urusi amepuzilia mbali uvumi kuhusu afya yake kuwa ni mzima.

 

9 years ago

Habarileo

Diallo akanusha kutaka kuihama CCM

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mwanza, Dk Antony Diallo amekanusha uvumi ulioenea katika maeneo mbalimbali kuwa ana mpango wa kukihama chama hicho.

 

5 years ago

BBCSwahili

Makada waandamizi Makamba, Kinana ‘waitikia wito’ licha ya uvumi wa kuikacha CCM

Makada hao hawakutokea Dodoma Juma lilopita na kuzusha gumzo.

 

9 years ago

Michuzi

CCM YAKANUSHA UVUMI WA HABARI YA MGOMBEA WAKE WA URAIS DKT JOHN MAGUFULI KUAHIDI KUGAWA KOMPYUTA KWA WALIMU NCHINI

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya Chama hicho,Lumumba jijini Dar,kuhusiana na madai ya kauli inayodaiwa kutolewa na Mgombea wa Urais wa Chama hicho Dkt John Magufuli kuwa kupitia Ilani yake ya chama atatoa kompyuta kwa Walimu nchi nzima iwapo CCM itapita madarakani,habari ambazo Nape amezikunusha vikali na kusema hayo ni maneno ya uzusihi na kuwa Dkt Magufuli hajawahi kutamka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Dkt. Bilal aongoza maadhimisho miaka 38 ya CCM Dar

IMG_0650

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Wananchi na Wanachama wa CCM Mkoa wa Dar es salaam alipowasili Viwanja vya Tawi la CCM kwa Mwinjuma Kinondoni Dar es salaam jana Februari 02,2015 kwa ajili ya kuhudhuria Maadhimisho ya Miaka 38 ya CCM.

IMG_0683

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea CD yenye mashairi  maalum ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM NA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. BILAL AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM DAR ES SALAAM

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea CD yenye mashairi  maalum ya kukipongeza chama cha Mapinduzi CCM kwa kutimiza miaka 38 tangu kuanzishwa kwake kutoka kwa msanii Ahmad Amour Nyangany, kwenye maadhimisho ya miaka 38 ya CCM yajiyofanyika jana kwenye uwanja wa Tawi la CCM Mwinjuma Kinondoni Dar es salaam. Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed...

 

10 years ago

Habarileo

Sitta apuuza maoni ya Ukawa

Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji nchini, Huruma Ole Kalaita (kulia) akiwa na ujumbe wa wanachama 44 wa chama hicho mbele ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta (katikati) walipomtembelea bungeni Dodoma jana kutoa maoni yao ya uboreshaji wa mapendekezo ya Katiba. Kushoto ni mlezi wa chama hicho, John Shibuda. (Na Mpigapicha Wetu).MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amepuuza maoni ya viongozi wa wajumbe wa Bunge hilo wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutaka Bunge hilo lisitishwe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal apuuza tathmini kumhusu

Van Gaal anasema:"Lilikuwa jambo la kijinga kuniweka kwenye mizani miezi mitatu baada ya kuchukua usukani Manchester United''

 

10 years ago

BBCSwahili

Agathon Rwasa apuuza mahakama Burundi

Kiongozi wa zamani wa FNL Palipehutu Burundi, Aghaton Rwasa hakusikilizwa na mahakama katika kesi inayo husu mauaji ya raia banyamulenge mwaka 2004 katika kitongoji cha gatumba nje ya mji mkuu Bujumbura

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani