Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diallo akanusha kutaka kuihama CCM

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mwanza, Dk Antony Diallo amekanusha uvumi ulioenea katika maeneo mbalimbali kuwa ana mpango wa kukihama chama hicho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MLINZI WA SLAA AKANUSHA KUTAKA KUMUUA BOSI WAKE

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Willbroad Slaa. KHALID Hamada Kangezi aliyekuwa mlinzi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Willbroad Slaa, amekanusha taarifa iliyotolewa na viongozi wa chama hicho kwamba alitaka kumdhuru kiongozi huyo na akasisitiza yeye ndiye aliyenusurika kifo baada ya kufungiwa chumbani kwa zaidi ya saa sita na viongozi wa chama hicho wakiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Bilal apuuza uvumi wa kuihama CCM

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amekanusha taarifa za uzushi ziliposambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa anakihama Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto aungana na CCM kutaka kura ya wazi

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ameunga mkono msimamo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupiga kura ya wazi katika kufanya uamuzi....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makubaliano ya UKAWA lazima yawe zaidi kutaka kuing’oa CCM

MOJAWAPO ya mambo ambayo baadhi yetu hatukuyachangamkia sana ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao ulikuja kama mwamko (movement) ya kupinga kile ambacho wajumbe wake waliona ni utekaji wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Simai Mohamed Said akanusha kwamba amehama CCM

11202848_902566486485912_7993312180007697476_nPichani ni Ndugu Simai Mohammed Said katika moja ya mikutano yake  ya Kichama kama alivyoweka kupitia ukurasa wake wa facebook mapema jana baada ya taarifa za uzushi dhidi yake zilizokuwa zikitolewa na watu wasiomtakia mema.

Kada wa Chama cha Mapinduzi Visiwani Zanzibar, Simai Mohammed Said, ambaye anatarajia kugombea nafasi ya Uwakili wa jimbo la Tunguu  amekanusha vikali taarifa zilizokuwa zinasambazwa kuwa amekihama chama hicho.

Kupitia ukurasa wake huo, Simai aliweka sawa na kuwataka...

 

10 years ago

TheCitizen

Life, LOVE, music and healing with Diallo

Moussa Diallo is widely known as a bass player, singer and composer and like many artists, he had to fight for his right to be one. In order to become a musician he had to defy his father by running away from home to live with his mother in Copenhagen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Xavi kuihama Barcelona

Wachezaji wa klabu ya Barcelona watavalia jezi maalum katika mechi yao ya mwisho msimu huu ili kutoa heshima kwa kiungo wao wa kati Xavi ambaye anaondoka

 

10 years ago

BBCSwahili

De Gea kuihama Manchester United?

Kipa wa Manchester United David de Gea amewaambia wachezaji wenzake katika kilabu hiyo ya Old Trafford kwamba anataka kuihama kilabu hiyo na kujiunga na Real Madrid.

 

10 years ago

BBCSwahili

Podolski ataka kuihama Arsenal

Lucas Podolski alilichezea taifa lake la Ujerumani dhidi ya Gibraltar lakini anashangazwa kuona ni kwa nini hajaanzishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani