Zitto aungana na CCM kutaka kura ya wazi
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ameunga mkono msimamo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupiga kura ya wazi katika kufanya uamuzi....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Askofu aungana na Kakobe kutaka Tanganyika
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
‘Posho tulidai wazi, kura iwe wazi’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ahmed Masoud Jongo amewataka wajumbe wasiogope kupiga kura za wazi kama walivyokuwa wakidai nyongeza ya posho hadharani. Alitoa kauli hiyo juzi jioni alipokuwa akichangia...
10 years ago
Mtanzania11 Aug
Zitto aungana na Pofesa Lipumba
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
SIKU Chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba kudai Umoja wa Katiba ya Wanchi (Ukawa), umeteua mgombea kutoka CCM, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameibuka na kutoa madai yanayoshabihiana na hayo.
Akizungumza na kituo cha televisheni cha Azam, Profesa Lipumba alipoulizwa endapo kujiuzulu kwake ni njama za kuihujumu Ukawa alisema. “Ukweli wa hili tumejiparaganisha wenyewe, sasa katika nafasi ya...
9 years ago
Habarileo26 Oct
RC aungana na wapiga kura kuwahi kituoni
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa ni miongoni mwa wananchi waliojitokeza kupiga kura katika kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Dodoma Mlimani, kata ya Tambuka Reli huku vijana wakidai hawapo tayari kulinda kura vituoni.
9 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA KIRUMBA SANAA GROUP JIJINI MWANZA AUNGANA NA KAMPENI YA "PIGA KURA, EPUKA KULA".
Maduwa ambae pia ni Mshereheshaji (Mc Katumba) na Mtangazaji wa 99.4 Radio Metro Fm, ameungana na Binagi Media Group katika Kampeni yake ya Kuwahamasisha Watanzania waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura kujitokeza kwa wingi katika kuwachagua viongozi bora wa kuwatumikia na si bora viongozi ambao wakati mwingine huchaguliwa...
10 years ago
Bongo502 Dec
Jose Chameleone aungana na Watanzania kuhamasisha Afrika Mashariki impigie kura Idris ashinde BBA Hotshots
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ty9SEa3zl3E/VFCvbXQgqcI/AAAAAAAGuAo/sWDCrMZ4JKE/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
NCHI 188 ZAPIGA KURA YA NDIYO YA KUTAKA CUBA IONDOLEWE VIKWAZO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ty9SEa3zl3E/VFCvbXQgqcI/AAAAAAAGuAo/sWDCrMZ4JKE/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
Na Mwandishi Maalum , New York
Kwa mwaka wa 23 sasa hapo jana ( Jumanne ) Nchi wanachama wa Umoja wa...
9 years ago
VijimamboWATU WAMESHAANZA KUPANGA FOLENI TAYARI KWA KUTAKA KUPIGA KURA
Kituo cha Magomeni mapipa kata ya Suna wananchi wamisha anza kujipanga ili wapige kula kumchagua kiongozi wanaeamini kuwa anaweza kuwaongoza na kuwaletea maendeleo.
Msimamizi wa kituo cha upigaji kura akielekeza wananchi wapi wajipange ili wapige kura zao kwa utaratibu uliopangwa.
Habari ndiyo hii
Mwananchi akitafakari kura yake aipeleke wapi
Mmoja wa wasimamizi wa kituo cha kupigia kura kata ya Suna Magomeni mapipa hii ni live bila chenga.
11 years ago
Habarileo11 Mar
Kura za siri,wazi kiporo
BADO MUAFAKA! Ndivyo ilivyojidhihirisha jana kwenye Bunge Maalum la Katiba, ambalo limeshindwa kufikia makubaliano ya kura gani, itumike wakati wa kupitisha uamuzi wa ibara za rasimu ya Katiba mpya. Kura inayobishaniwa na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ni kama iwe ya siri au wazi, jambo lililogawa Bunge hilo katika makundi mawili, yanayotofautiana kuhusu namna gani uamuzi ufanyike ndani ya Bunge hilo.