MLINZI WA SLAA AKANUSHA KUTAKA KUMUUA BOSI WAKE

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Willbroad Slaa. KHALID Hamada Kangezi aliyekuwa mlinzi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Willbroad Slaa, amekanusha taarifa iliyotolewa na viongozi wa chama hicho kwamba alitaka kumdhuru kiongozi huyo na akasisitiza yeye ndiye aliyenusurika kifo baada ya kufungiwa chumbani kwa zaidi ya saa sita na viongozi wa chama hicho wakiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMLINZI AKANUSHA KUMUUA SLAA, ADAI ALILAZIMISHWA KUKIRI
10 years ago
GPL
DK SLAA APELEKA MALALAMIKO YA KUTAKA KUUAWA NA MLINZI WAKE MAKAO MAKUU YA POLISI DAR
10 years ago
MichuziPOLISI WAMUHOJI DK. SLAA KWA SAA SITA KUHUSIANA NA TUHUMA ZA KUTAKA KUWEKEWA SUMU NA MLINZI WAKE
11 years ago
Habarileo03 Apr
Atuhumiwa kutaka kumuua trafiki
MKAZI wa Kijitonyama,jijini Dar es Salaam Cresence Nguzo (25) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua askari wa kikosi cha usalama barabarani.
9 years ago
Habarileo03 Dec
Kortini kwa kutaka kumuua Lubuva
WATU wawili wakiwemo Mwanasheria na Mwalimu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama za kumuua Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva na familia yake.
11 years ago
GPL
SAKATA LA CHID BENZ KUTAKA KUMUUA DEMU
10 years ago
Habarileo07 Sep
Diallo akanusha kutaka kuihama CCM
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mwanza, Dk Antony Diallo amekanusha uvumi ulioenea katika maeneo mbalimbali kuwa ana mpango wa kukihama chama hicho.
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Rwasa alaumu serikali kwa kutaka kumuua mkewe
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Mlinzi wa Dk. Slaa atoboa siri
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, zimeendelea kutikisa pembe za nchi huku mlinzi wake binafsi, Khalid Kagenzi, akitoboa siri za mkasa huo.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, kudai mlinzi huyo alikuwa akitumiwa na vyombo vya usalama kwa lengo la kumuua Dk. Slaa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kagenzi alisema...