Kortini kwa kutaka kumuua Lubuva
WATU wawili wakiwemo Mwanasheria na Mwalimu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama za kumuua Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva na familia yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Rwasa alaumu serikali kwa kutaka kumuua mkewe
10 years ago
Habarileo29 Nov
5 Kortini kwa kuvamia baa na kumuua mmiliki
WAKAZI watano wa Kijiji cha Turugeti, katika Kata ya Bumera wilayani Tarime mkoani Mara, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya hiyo na kusomewa mashitaka ya kuvamia baa katika Kijiji cha Kitenga na kumuua mmiliki wa baa hiyo, Muruga Nyasulwa.
11 years ago
Habarileo03 Apr
Atuhumiwa kutaka kumuua trafiki
MKAZI wa Kijitonyama,jijini Dar es Salaam Cresence Nguzo (25) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua askari wa kikosi cha usalama barabarani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
SAKATA LA CHID BENZ KUTAKA KUMUUA DEMU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lNixQXwuMpmprKLRPeeSd6SRMMwu*ljZ8bvziKb6IZ84-AViOz*RdDktfHsj*Z0EJOSmb21wkj2OgtpqKC--zxz/slaa.jpg?width=650)
MLINZI WA SLAA AKANUSHA KUTAKA KUMUUA BOSI WAKE
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Watano kortini wakidaiwa kumuua ofisa wa usalama
10 years ago
Mtanzania26 Mar
Chadema wamtuma Jaji Lubuva kwa JK
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
BARAZA la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kusitisha mchakato wa uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa BVR.
Wamemtaka Jaji Lubuva asikubali Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfia mikononi kwa sababu kinaelekea huko na kinatafuta wa kufa naye.
Mwenyekiti wa baraza hilo Mkoa wa Dar es Salaam, Esther Samanya, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Jaji Lubuva, NEC ni huru kwa kiwango gani?
HIVI karibuni asasi ya walimu wa somo la uraia nchini (CETA) ikisihirikiana na asasi kutoka Ujerumani yenye makazi nchini ya Konrad Adenauer Stiftung (KAS) waliandaa kongamano la siku moja, ili...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Lubuva afichua sababu za kupungua kwa wapiga kura