Watano kortini wakidaiwa kumuua ofisa wa usalama
Watu watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi mbili tofauti za mauaji ikiwamo ya aliyekuwa Ofisa Usalama wa Taifa, Silvanus Mzeru (56).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mbaroni wakidaiwa kumuua kikongwe
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kumuua Edna Kajinga (70) mkazi wa Kijiji cha Katobe, wilayani Rungwe. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Kortini wakidaiwa kusafirisha kobe
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Kortini wakidaiwa kuiibia TPB mil. 550/-
WATU wa wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana, wakikabiliwa na shitaka la wizi wa zaidi ya sh. milioni 550 mali ya Benki...
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kortini wakidaiwa kusafirisha kokeni za mil 250/-
WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 240.9
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Ofisa wanyamapori kortini kwa nyara za serikali
OFISA Muhifadhi Wanyamapori Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Rashidi Ndimbe, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali. Mbele...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Ofisa elimu kortini kwa kutapeli mil 5.4/-
OFISA Elimu wa Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Julius Mduma amefikishwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kiteto na kushtakiwa kwa kosa la kujipatia Sh 5.4 milioni kwa njia ya udanganyifu.
9 years ago
Habarileo03 Dec
Kortini kwa kutaka kumuua Lubuva
WATU wawili wakiwemo Mwanasheria na Mwalimu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama za kumuua Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva na familia yake.
10 years ago
Habarileo03 Sep
Mbaroni kwa kujifanya ofisa usalama
MKAZI wa jijini Dar es Salaam, Gunner Meena (40), anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kujifanya mtumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa.
10 years ago
Habarileo29 Nov
5 Kortini kwa kuvamia baa na kumuua mmiliki
WAKAZI watano wa Kijiji cha Turugeti, katika Kata ya Bumera wilayani Tarime mkoani Mara, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya hiyo na kusomewa mashitaka ya kuvamia baa katika Kijiji cha Kitenga na kumuua mmiliki wa baa hiyo, Muruga Nyasulwa.