Ofisa wanyamapori kortini kwa nyara za serikali
OFISA Muhifadhi Wanyamapori Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Rashidi Ndimbe, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali. Mbele...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV25 Nov
 Afisa Wanyamapori, mvuvi Singida jela miaka 40 Kumiliki Nyara Za Serikali
Afisa Wanyamapori na mvuvi mmoja wa mkoani Singida wamehukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka 40 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kumiliki nyara za Serikali zenye thamani shilingi milioni 4.3.
Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya Wilaya ya Singida dhidi ya washitakiwa Afisa Wanyamapori katika halmashauri ya Wilaya ya Singida Augustino Lori (44) na mvuvi Hamza Mbella (40).
Awali mwendesha mashitaka mwanasheria wa Serikali Neema Mwapiana alidai kuwa washitakiwa kwa pamoja...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Ofisa elimu kortini kwa kutapeli mil 5.4/-
OFISA Elimu wa Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Julius Mduma amefikishwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kiteto na kushtakiwa kwa kosa la kujipatia Sh 5.4 milioni kwa njia ya udanganyifu.
11 years ago
Habarileo08 Jan
Ofisa Wanyamapori akamatwa na ndege hai 12
POLISI mkoani Singida inamshikilia Ofisa Wanyamapori wa Wilaya ya Singida, Augustino Lorry (43) kwa tuhuma ya kukutwa na ndege hai wa majini 12 walio hai. Anadaiwa kukutwa na ndege 11 aina ya flamingo na mmoja aina ya Fork isivyo halali.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Ashikiliwa kwa nyara za Serikali
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Wawili mbaroni kwa nyara za Serikali
11 years ago
Habarileo21 Mar
Waasia 2 kortini njama za kuteka nyara
WATU wawili wenye asili ya bara la Asia, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kupanga njama za kuteka nyara.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Maofisa wanyamapori tisa wapanda kortini
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Watano kortini wakidaiwa kumuua ofisa wa usalama
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Ofisa biashara atuhumiwa kwa kuikashifu Serikali, Mwenge