Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


  Afisa Wanyamapori, mvuvi Singida jela miaka 40 Kumiliki Nyara Za Serikali

 

Afisa Wanyamapori na mvuvi mmoja wa mkoani Singida wamehukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka 40 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kumiliki nyara za Serikali zenye thamani shilingi milioni 4.3.

Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya Wilaya ya Singida dhidi ya washitakiwa Afisa Wanyamapori katika halmashauri ya Wilaya ya Singida Augustino Lori (44) na mvuvi Hamza Mbella (40).

Awali mwendesha mashitaka mwanasheria wa Serikali Neema Mwapiana alidai kuwa washitakiwa kwa pamoja...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ofisa wanyamapori kortini kwa nyara za serikali

OFISA Muhifadhi Wanyamapori Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Rashidi Ndimbe, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali. Mbele...

 

10 years ago

Mtanzania

Msanii jela miaka 10 kwa kumiliki fisi

Msanii na FISI...NA TWALAD SALUM, MISUNGWI

MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi wa Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, imemhukumu msanii wa ngoma za asili, Mng’ahwa Kazanza (42), kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kumiliki fisi wawili na kuwatumia kwenye sanaa zake bila kibali.

Awali akisomewa mashtaka katika mahakama hiyo na Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Doroth Mgenyi, ilielezwa mahakamani hapo kuwa mnamo Septemba 28, mwaka huu, kwenye Kijiji cha Sisu wilayani Misungwi, majira ya saa 7:30 mchana, Mng’ahwa Kazanza (42)...

 

10 years ago

GPL

AKAMATWA NA VIUNGO VYA BINADAMU, NYARA ZA SERIKALI SINGIDA

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida,  ACP Thobias Sedoyeka. Vipande viwili vya fuvu la binadamu. Chupa tatu za mafuta ya simba alizokutwa nazo mtuhumiwa. Vipande vya ngozi ya simba JESHI la polisi mkoani Singida linamshikilia mkazi moja wa Kijiji cha Itumba, wilaya ya…

 

10 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi Singida lawashikilia waganga wa jadi wakiwa na nyara mbalimbali za serikali

DSC03164

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.

Na Nathaniel Limu, Singida

JESHI la polisi mkoa wa Singida, limetangaza vita dhidi ya waganga wa kienyeji wasiokuwa na vibali ambao wanajihusisha na kutoa ramli chonganishi.  Jeshi hilo limeanzisha msako mkali kwa waganga hao na kufanikiwa kukamata wanane katika kata moja ya Minga katika manispaa ya Singida.

Akitoa taarifa ya msako huo ulioanza machi 16 mwaka huu saa sita mchana, Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Singida,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waganga wa tiba mbadala Singida wanaotumia nyara za Serikali kupigia ramli chonganishi watakiwa kuzisalimisha Polisi

SAM_2030

Katibu Mkuu wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida, Dk.Tano Mika Likapakapa (wa kwanza kulia)Mwenyekiti wa serikali ya Kijiji cha Lunsanga,Bw.Richard Kisiwa (katikati) na Mkuu wa Kituo kidogo cha polisi Ndago, Bw.Richard Kimolo. SAM_2029 Afisa kilimo wa kata ya Ndago, Bi Perpetua Pius (kushoto) na Mratibu wa Tiba Asilia kutoka Hospitali ya wilaya ya Iramba,Bi Roda Yona(kulia). SAM_2027 Waganga wa tiba mbadala waliovaa mavazi wanayotumia wakati wa shughuli zao. SAM_2024  Maafisa watendaji wa vijiji na wenyeviti wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afisa jela kuhatarisha usalama wa ndege

Afisa mtendaji wa zamani wa shirika la ndege la Korea amefungwa jela kwa kosa la kuhatarisha usalama wa ndege

 

10 years ago

Mwananchi

Afisa wa Tanroad wilayani Babati jela kwa rushwa

Mahakama ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara leo imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela mkuu wa manunuzi wa Tanroads, Raphael Chauma baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuomba rushwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vital Kamerhe: Mshirika mkuu wa serikali ya rais Felix Tshisekedi nchini DR Congo amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Mshirika mkuu wa rais Felix Tshisekedi nchini Jamhuri ya Kidemokrasi aya Congo Vital Kamerhe amehukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa ufisadi na wizi wa takriban dola milioni 50 za Marekani.

 

5 years ago

Michuzi

AFISA ELIMU SINGIDA ANASWA AKIDAIWA KUJARIBU KUMHONGA TAKUKURU

 Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Mkoa wa Singida, Adili Elinipenda akizungumza na waandishi wa habari leo wakati akitoa taarifa ya shughuli mbalimbali zilizofanywa na taasisi hiyo kwa kipindi cha kati ya January na Aprili mwaka huu. Taarifa ikitolewa kwa waandishi wa habari. Kutoka kulia ni Mkuu wa PCCB Wilaya ya Manyoni, Jerome Mpanda, Naibu  Mkuu wa PCCB Mkoa wa Singida, Mzalendo Widege,  Mkuu wa PCCB Mkoa wa Singida, Adili Elinipenda na  Mkuu wa PCCB Wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani