Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afisa jela kuhatarisha usalama wa ndege

Afisa mtendaji wa zamani wa shirika la ndege la Korea amefungwa jela kwa kosa la kuhatarisha usalama wa ndege

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

ITV, StarTv, RFA zadaiwa kuhatarisha usalama,maadili

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevipa onyo kali vyombo vya habari vya Independent Television (ITV), Star Tv na Radio Free Africa (RFA) kwa kutangaza maudhui yanayoelezwa kuchochea uvunjifu wa amani na kuzuia wananchi kulipa kodi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria: afisa wa usalama apekuliwa

Nyumba za mshauri wa zamani wa usalama Nigeria zavamiwa kwa upekuzi

 

10 years ago

GPL

AFISA USALAMA FEKI, SILAHA ZAKAMATWA NA POLISI

Baadhi ya silaha zilizokamatwa na jeshi la polisi. Kamanda Suleiman Kova akionyesha  silaha zilizokamatwa kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

9 years ago

Mwananchi

Afisa wa Tanroad wilayani Babati jela kwa rushwa

Mahakama ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara leo imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela mkuu wa manunuzi wa Tanroads, Raphael Chauma baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuomba rushwa.

 

11 years ago

Michuzi

ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUJIFANYA AFISA USALAMA WA TAIFA

Kijana aliyetambulika kwa jina la Musa Mbeko(24) anayedaiwa kuwa ni mwandishi wa habari mkoani Tabora akiwa mikononi mwa Jeshi la Polisi mkoani humo baada ya kujifanya kuwa ni afisa kutoka idara ya usalama wa taifa (TISS).kijana huyo inadaiwa aliwahi kufanya kazi kituo cha radio cha Voice of Tabora (VOT) kinachomilikiwa na mbunge wa Jimbo la Tabora mjini,Ismail Rage,hata hivyo Uongozi wa VOT umekana kijana huyo kuwa ni mwandishi wao na kwamba ulikwisha mfukuza kutokana na makosa...

 

9 years ago

StarTV

  Afisa Wanyamapori, mvuvi Singida jela miaka 40 Kumiliki Nyara Za Serikali

 

Afisa Wanyamapori na mvuvi mmoja wa mkoani Singida wamehukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka 40 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kumiliki nyara za Serikali zenye thamani shilingi milioni 4.3.

Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya Wilaya ya Singida dhidi ya washitakiwa Afisa Wanyamapori katika halmashauri ya Wilaya ya Singida Augustino Lori (44) na mvuvi Hamza Mbella (40).

Awali mwendesha mashitaka mwanasheria wa Serikali Neema Mwapiana alidai kuwa washitakiwa kwa pamoja...

 

10 years ago

Michuzi

JAJI MKUU AKIWA KATIKA PICHA NA AFISA WA USALAMA WA UMOJA WA MATAIFA

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa na Mlinzi wa Usalama katika Umoja wa Mataifa, Afisa Ally Baruti kutoka Tanzania, Mhe. Jaji Mkuu yupo hapa Umoja wa Mataifa akiongoza Jopo Huru la Wataalam wanaopitia na kuchambua taarifa mpya kuhusu kifo cha Bw. Dag Hammarskjold ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon alimteua Mhe. Jaji Mkuu kuongoza jopo hilo mwezi uliopita, ...

 

10 years ago

Mwananchi

Teknolojia mpya ya usimamizi na usalama wa ndege angani

Baada ya miongo kadhaa ya kutumia teknolojia ya rada katika uongozaji ndege na usimamizi wa anga, Tanzania sasa inaingia katika orodha ya nchi chache barani Afrika kuwa na teknolojia mbili za kisasa zitakazosaidia kuboresha sekta hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanesco yalalamikiwa kuhatarisha maisha

WAKAZI wa Kikuyu Maghorofani mkoani Dodoma, wamelilalamikia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Dodoma kwa kuhatarisha maisha yao kutokana na kuwepo nguzo za umeme zilizooza. Wakazi hao walitoa malalamiko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani