Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco yalalamikiwa kuhatarisha maisha

WAKAZI wa Kikuyu Maghorofani mkoani Dodoma, wamelilalamikia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Dodoma kwa kuhatarisha maisha yao kutokana na kuwepo nguzo za umeme zilizooza. Wakazi hao walitoa malalamiko...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mwanaume mmoja akamatwa kwa kuhatarisha maisha ya watu

Jamaa mmoja Ujerumani ,amekamatwa kwa kujaribu kutekeleza mauwaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Afisa jela kuhatarisha usalama wa ndege

Afisa mtendaji wa zamani wa shirika la ndege la Korea amefungwa jela kwa kosa la kuhatarisha usalama wa ndege

 

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro wa Zanzibar kuhatarisha soka visiwani humo

Hali ya baadaye ya soka la Zanzibar ipo katika giza kubwa baada ya kushindikana kufuta kesi iliyofunguliwa na aliyekuwa Makamu wa Rais wa Chama Cha Soka Zanzibar (ZFA), Haji Ameir dhidi ya viongozi wenzake.

 

11 years ago

Habarileo

ITV, StarTv, RFA zadaiwa kuhatarisha usalama,maadili

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevipa onyo kali vyombo vya habari vya Independent Television (ITV), Star Tv na Radio Free Africa (RFA) kwa kutangaza maudhui yanayoelezwa kuchochea uvunjifu wa amani na kuzuia wananchi kulipa kodi.

 

11 years ago

Mwananchi

Halmashauri yalalamikiwa

Baadhi ya abiria Mji Mdogo wa Kayanga na wamiliki wa daladala, wamelalamikia uongozi wa Halmashauri ya Karagwe kushindwa kutengeneza miundombinu ya stendi ya wilaya miaka 50 iliyopita tangu wilaya kuanzishwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sumatra Ruvuma yalalamikiwa

BAADHI ya Wasafirishaji wa abiria mikoani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, wameilalamikia Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), mkoani hapa kwa kufanya upendeleo wa kuibeba kampuni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yalalamikiwa kuvunja ndoa

MAHAKAMA ya Mwanzo Namanyere, wilayani Nkasi, imelalamikiwa kuvunja ndoa iliyokuwa na mgogoro bila kugawanya mali iliyochumwa na wanandoa wakiwa pamoja. Maria Tarafa (25), mkazi wa Kijiji cha Isale ambaye ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tambaza Auction Mart yalalamikiwa

DHULUMA na ubabe unaodaiwa kufanywa na wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart ya jijini Dar es Salaam, umelalamikiwa na baadhi ya wamiliki wa magari, hususan malori. Baadhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Operesheni Safisha Jiji yalalamikiwa

WIKI moja baada ya Operesheni Safisha Jiji, baadhi ya wakazi wameomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq kuingilia kati, kuzuia uvunjifu wa sheria wa kubomolewa baadhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani