Mahakama yalalamikiwa kuvunja ndoa
MAHAKAMA ya Mwanzo Namanyere, wilayani Nkasi, imelalamikiwa kuvunja ndoa iliyokuwa na mgogoro bila kugawanya mali iliyochumwa na wanandoa wakiwa pamoja. Maria Tarafa (25), mkazi wa Kijiji cha Isale ambaye ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t-*UowKHjRXbZi0-3zXZWddNwGT5sBlb4to6sbqnPEkr8K5huttOsSVYOks8VsQLh9momhogSUBNtSXC*Eoj-k2/siri7.jpg?width=650)
SIRI 7 ZA KUVUNJA NDOA NA MBUNGE MZEE
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Kanisa Katoliki sasa kuvunja ndoa
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis jana alieleza mabadiliko mapya yanayolenga kuwarahisishia Wakatoliki kuvunja ndoa zao na kuoa upya.
Dhamira hiyo ni ishara nyingine ya dhamira ya Papa huyo kutaka kulifanya Kanisa Katoliki liwe rafiki zaidi na kuendana matakwa ya walio wengi.
Akizungumza kuhusu mabadiliko hayo, Papa alisema si haki kwa wenzi kuishi muda mrefu ‘wakikandamizwa na wingu la shaka’ kuhusu uhalali wa ndoa zao.
Ikumbukwe kwamba ni msimamo wa Papa kumkatalia Mfalme...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
‘Maji hatarini kuvunja ndoa za watu Moro’
11 years ago
Habarileo09 Mar
Mahakama yavunja ndoa ya mfanyabiashara
MAHAKAMA ya Mwanzo Utemini mjini Singida imeamuru kuvunjwa rasmi kwa ndoa kati ya mfanyabiashara Baltazar Mushi, maarufu kwa jina la 'Sam Mayuni' (34) na mkewe Lucy Msuya (32), ili kuepusha unyanyasaji zaidi kwa mkewe.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mahakama yamnyima haki za tendo la ndoa
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mapya yaibuka ndoa iliyovunjwa na mahakama
SAKATA la ndoa iliyovunjwa na Mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Nkasi, Rukwa limeingia katika sura mpya baada ya kubainika kuwa mume aliyeomba kuvunjwa kwa ndoa yake, Ndebile Kazuri, alimkatisha masomo...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
MARIA TARAFA:Â Mume wangu aliidanganya mahakama ikavunja ndoa
NOVEMBA 18, 2013 Mahakama ya Mwanzo, Namanyere, Wilaya ya Nkasi iliamua kuvunja ndoa ya Ndebile Kazuri na Maria Tarafa wote wakazi wa Kijiji cha Isale, mji mdogo wa Namanyere, Wilaya...
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Mahakama ya rufaa yaamuru kwamba ndoa za Kiislamu ni haramu Uingereza