Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yalalamikiwa kuvunja ndoa

MAHAKAMA ya Mwanzo Namanyere, wilayani Nkasi, imelalamikiwa kuvunja ndoa iliyokuwa na mgogoro bila kugawanya mali iliyochumwa na wanandoa wakiwa pamoja. Maria Tarafa (25), mkazi wa Kijiji cha Isale ambaye ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SIRI 7 ZA KUVUNJA NDOA NA MBUNGE MZEE

Stori: Imelda Mtema na Ojuku Abraham
YULE ‘hendsam’boi’ Michael Christian (28) ambaye mwaka jana aliitikisa medani ya siasa Bongo kufuatia kufunga ndoa na Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Rukwa, Rose-Sweeter Kasikila (60) na miezi michache mbele ndoa ikavunjika, ameibuka na kuanika siri 7 zilizomfanya aamue kuivunja ndoa hiyo na mheshimiwa huyo. Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Rukwa, Rose-Sweeter...

 

9 years ago

Mtanzania

Kanisa Katoliki sasa kuvunja ndoa

papa1KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis jana alieleza mabadiliko mapya yanayolenga kuwarahisishia Wakatoliki kuvunja ndoa zao na kuoa upya.

Dhamira hiyo ni ishara nyingine ya dhamira ya Papa huyo kutaka kulifanya Kanisa Katoliki liwe rafiki zaidi na kuendana matakwa ya walio wengi.

Akizungumza kuhusu mabadiliko hayo, Papa alisema si haki kwa wenzi kuishi muda mrefu ‘wakikandamizwa na wingu la shaka’ kuhusu uhalali wa ndoa zao.

Ikumbukwe kwamba ni msimamo wa Papa kumkatalia Mfalme...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Maji hatarini kuvunja ndoa za watu Moro’

Wanawake wa Mikese na Mkambarani mkoani Morogoro, wameiomba Serikali kuwatatulia kero sugu ya maji iliyodumu kwa muda mrefu kiasi cha kusababisha ndoa zao kuingia kwenye migogoro kutokana na kutumia muda mwingi kutafuta na kuziacha familia bila kuwa uangalizi wa kutosha.

 

11 years ago

Habarileo

Mahakama yavunja ndoa ya mfanyabiashara

MAHAKAMA ya Mwanzo Utemini mjini Singida imeamuru kuvunjwa rasmi kwa ndoa kati ya mfanyabiashara Baltazar Mushi, maarufu kwa jina la 'Sam Mayuni' (34) na mkewe Lucy Msuya (32), ili kuepusha unyanyasaji zaidi kwa mkewe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yamnyima haki za tendo la ndoa

Mahakama nchini Uingereza imemzuia mwanamume mmoja kufanya tendo la ndoa na mke wake ambaye ana matatizo ya kiakili

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapya yaibuka ndoa iliyovunjwa na mahakama

SAKATA la ndoa iliyovunjwa na Mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Nkasi, Rukwa limeingia katika sura mpya baada ya kubainika kuwa mume aliyeomba kuvunjwa kwa ndoa yake, Ndebile Kazuri, alimkatisha masomo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MARIA TARAFA: Mume wangu aliidanganya mahakama ikavunja ndoa

NOVEMBA 18, 2013 Mahakama ya Mwanzo, Namanyere, Wilaya ya Nkasi iliamua kuvunja ndoa ya Ndebile Kazuri na Maria Tarafa wote wakazi wa Kijiji cha Isale, mji mdogo wa Namanyere, Wilaya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mahakama ya rufaa yaamuru kwamba ndoa za Kiislamu ni haramu Uingereza

Jaji wa mahakama ya rufaa alibatilisha uamuzi ambao ulisema kwamba ndoa za Kiislamu zilikuwa halali nchini Uingereza

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani